Hukumu ina kurasa 127 hivi.Hadi sasa asilimia 80 ya sababu za CHADEMA zimekubaliwa.Lakini Jaji aweza kugeuka mwishoni.Ngoma inogile...
Migogoro mingi ndani ya taasisi, ndoa,..., huanzwa na kumalizwa na wenye taasisi, ndoa hizi. Waislaam mkiwa WAMOJA, mkaongea kwa sauti moja, hakuna mgogoro utazushwa kutoka nje ya UISLAAM wenu. Turudi kwenye mada yetu.kama watz mbona ccm haipeleki migogoro kwa taasisi za wakiristo? tatizo la viongozi wengi wa kiislam wapo CCM kutafuta umaarufu tofauti na wenzao. wakiona MWANYA ndipo hapo hapo kama walivyofanya kwa ajili ya MOU
Asante kwa taarifa hawa majaji(voda fasta)hawakawii kugeuza mbili kuwa tano.
jaji anasema tayari vifungu vinne vilionekana vimeathiri matokeo. Hadi sasa CDM iko juu
hii ni kutoka kwa jamaa aliyoko ndani ya mahakama
Tutarudi kwenye uchaguzi mdogo tena! Tuendelee tu kugharamia SIASA kama mazuzu.hivi tukishinda kafumu atavua kile kiapo na kumpa kashindye au kashindye ataapa tena? Na je, mahakama itamtangaza kashindye kuwa mshindi?
kafumu akishinda hii kesi nakata gogo barabarani.....
Migogoro mingi ndani ya taasisi, ndoa,..., huanzwa na kumalizwa na wenye taasisi, ndoa hizi. Waislaam mkiwa WAMOJA, mkaongea kwa sauti moja, hakuna mgogoro utazushwa kutoka nje ya UISLAAM wenu. Turudi kwenye mada yetu.
Makosa anayotaja sasa yanabatilisha matokeo ya uchaguzi ule? Kafumu ashinde tu ili tuepuke gharama hizi za kijinga. Kwani Ubunge wa NCHI hii una maana yoyote basi?Jaji asije akaanza kwa kutupa matumaini then akaja kupinduka katika hoja nyepesi na kuwapa ushindi ccm. Ngoja tuendelee kuvuta subira, kitaeleweka tu muda si mrefu.
wewe ni muandishi wa habari arifu?Barabara ipi nije nishuhudie!
wewe ni muandishi wa habari arifu?