byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,066
- 951
Dkt. Juma Mwaka wa Foreplan Herbal Clinic ambaye alikuwa anatoa huduma ya dawa za asili aliyefungiwa kwa kosa la kutangaza biashara hiyo arudi kivingine.
Leo naona anaendelea na matangazo Chanel ten.
Mwanzoni alikuwa anapatikana maeneo ya Ilala Bungoni ila sasa inavyoonyesha anapatikana ubungo plaza.
Pia anapatikana kupitia namba 0758100100
Leo naona anaendelea na matangazo Chanel ten.
Mwanzoni alikuwa anapatikana maeneo ya Ilala Bungoni ila sasa inavyoonyesha anapatikana ubungo plaza.
Pia anapatikana kupitia namba 0758100100