Dr. Juma Mwaka arudi kivingine katika biashara

Dr. Juma Mwaka arudi kivingine katika biashara

Tatizo hili li ji sirikali halijawahi kuweka mkakati madhubuti ambao ni endelevu. Sasa tazama, Asiemtaka kaondoka, jamaa amerudi Kama kawa. Aibu yenu..
 
Anadai hilo jina la Dr mmempa nyie ila yeye anaitwa JJ Mwaka,tunaanza kuona kurudi tena herbalist clinic na utapeli wake,hii ndio madhara ya matamko ya kisiasa hayana backup za kisheria
 
Shemeji yangu alikuwa na tatizo la mimba kuharibika ( mimba tatu) alitibiwa kwa mwaka na hivi sasa ana mtoto anatimiza miaka miwili na miezi kadhaa, japo tiba zake ni gharama
Mmeanza promo zenu za kitapeli eehhh!!
 
Anaweza kusema amaharibu maliasili kwa kuchimba mizizi ya dawa
Hahahahaa....soon atatoa tamko kuwa wanaotaka kuingia maporini na kuchimba mizizi ya dawa lazima wachukue kibali officen kwake.....ngoma inogileee
 
Shemeji yangu alikuwa na tatizo la mimba kuharibika ( mimba tatu) alitibiwa kwa mwaka na hivi sasa ana mtoto anatimiza miaka miwili na miezi kadhaa, japo tiba zake ni gharama
Subiri uwaone Wapinzani wake humi
 
Anadai hilo jina la Dr mmempa nyie ila yeye anaitwa JJ Mwaka,tunaanza kuona kurudi tena herbalist clinic na utapeli wake,hii ndio madhara ya matamko ya kisiasa hayana backup za kisheria
Dr.Mwaka sio Tapeli amewasaidia wengi acheni kutoa tuhuma zisizo na kichwa wala miguu
Usiombe tatizo la uzazi limkute mtu wako wa karibu
 
Hahahahaa....soon atatoa tamko kuwa wanaotaka kuingia maporini na kuchimba mizizi ya dawa lazima wachukue kibali officen kwake.....ngoma inogileee
hahaa mkuu umetisha
 
Alishazoea kutapeli bongo hawezi nchi nyingine lazima arudi....kaona KIGWA kabadilishwa wizara kaamua kurudisha majeshi? sasa hivi atajiita nani maana wezake wanajiita tabibu
 
Back
Top Bottom