Dr. Juma Mwaka arudi kivingine katika biashara

Dr. Juma Mwaka arudi kivingine katika biashara

Alishazoea kutapeli bongo hawezi nchi nyingine lazima arudi....kaona KIGWA kabadilishwa wizara kaamua kurudisha majeshi? sasa hivi atajiita nani maana wezake wanajiita tabibu
Mkuu ukitaka kula hela ya wabongo kirahisi wewe kimbilia kwenye mambo anayotapeli JJ Mwaka, utakuwa milionea baada ya mwaka tu!
 
umebandika mpka namba zake mkuu ..umeshalipia hili Tangazo la biashara kwa uongozi wa JF
 
Kigwangalla akili zake sijui zipoje. Anasema anawajua waliomuua sijui nani na police wasipowakamata within 4 days, atareport kwa Rais. Hawa ndo wale Mawaziri wapumbavu JPM alilikuwa anawasema
Hahaha
 
"Leo naona anaendelea na matangazo Chanel ten.

Mwanzoni alikuwa anapatikana maeneo ya Ilala Bungoni ila sasa inavyoonyesha anapatikana ubungo plaza.

Pia anapatikana kupitia namba 0758100100"

inabidi ulipie tangazo mkuu.
 
"Leo naona anaendelea na matangazo Chanel ten.

Mwanzoni alikuwa anapatikana maeneo ya Ilala Bungoni ila sasa inavyoonyesha anapatikana ubungo plaza.

Pia anapatikana kupitia namba 0758100100"

inabidi ulipie tangazo mkuu.
 
Shemeji yangu alikuwa na tatizo la mimba kuharibika ( mimba tatu) alitibiwa kwa mwaka na hivi sasa ana mtoto anatimiza miaka miwili na miezi kadhaa, japo tiba zake ni gharama
Watu wote wa Ilala wanajua kua wale watoa ushuhuda ni watu wa kupangwa...
 
Back
Top Bottom