Dr. Hassan Mshinda, DG wa COSTECH...

Acha uongo na chuki binafsi...namjua Dr. Hassan Mshinda personally kama rafiki na pia likuwa boss wangu!

Google profile ya Dr Hassan Mshinda halafu niambie kama katika 'top ten' ya scientist wa Tanzania hatakuwepo! He is a PhD holder, Malariologist, research guru, with hundreds of research publications in 'internationally accredited' journals. Ana awards nyingi tu katika uwanja wa research kutokana na kazi zake katika malaria.

Dr Mshinda hana undugu wowote na Saidi Mwema....Said Mwema ni mkwe're wa kutoka kijiji cha Mwetemo Bagamoyo (kati ya Kiwangwa na Msata), Dr Mshinda ni mNgazija toka Shelisheli (Seychelles), hapa Tanzania alihamia akasoma, akaoa, akazaa, na anafanya kazi brilliantly.

Utendaji kazi wa Dr Mshinda ulimvutia JK wakati alipokuja Mkurugenzi wa shirika la afya duniani (WHO) Dr Margareth Chang, Chang mwenyewe alisalute kazi kubwa iliyofanywa na Ifakara Health Institute chini ya Dr Mshinda akiwa mkurugenzi, kiasi kuna guidelines kadhaa za WHO zimekuwa developed kufuatia tafiti za IHI. Hata waziri wa Afya wa sasa Dr Hadji Mponda ametokea IHI naye akiwa na tafiti na publications nyingi tu za malaria.

Kama ana mapungufu mengine hapo COSTECH jaribu kujenga hoja kwa hayo...lakini usisingizie alibebwa kupewa post hiyo kwa uswahiba wa kuunga na gundi kwa JK.
Saidi mwemani mchaga acha kutuhadaa
 
Mn
Acha uongo na chuki binafsi...namjua Dr. Hassan Mshinda personally kama rafiki na pia likuwa boss wangu!

Google profile ya Dr Hassan Mshinda halafu niambie kama katika 'top ten' ya scientist wa Tanzania hatakuwepo! He is a PhD holder, Malariologist, research guru, with hundreds of research publications in 'internationally accredited' journals. Ana awards nyingi tu katika uwanja wa research kutokana na kazi zake katika malaria.

Dr Mshinda hana undugu wowote na Saidi Mwema....Said Mwema ni mkwe're wa kutoka kijiji cha Mwetemo Bagamoyo (kati ya Kiwangwa na Msata), Dr Mshinda ni mNgazija toka Shelisheli (Seychelles), hapa Tanzania alihamia akasoma, akaoa, akazaa, na anafanya kazi brilliantly.

Utendaji kazi wa Dr Mshinda ulimvutia JK wakati alipokuja Mkurugenzi wa shirika la afya duniani (WHO) Dr Margareth Chang, Chang mwenyewe alisalute kazi kubwa iliyofanywa na Ifakara Health Institute chini ya Dr Mshinda akiwa mkurugenzi, kiasi kuna guidelines kadhaa za WHO zimekuwa developed kufuatia tafiti za IHI. Hata waziri wa Afya wa sasa Dr Hadji Mponda ametokea IHI naye akiwa na tafiti na publications nyingi tu za malaria.

Kama ana mapungufu mengine hapo COSTECH jaribu kujenga hoja kwa hayo...lakini usisingizie alibebwa kupewa post hiyo kwa uswahiba wa kuunga na gundi kwa JK.
Mngazija wa Ushelisheli au Mngazija wa Comoro(Ngazija),hebu fafanua
 
Mkuu relax relax au ndo wewe DG,haaaaaaaaaa,kwani mtu anaweza akawa prof lakini kwenye kazi aliyoomba akawa hana vigezo kuwa DR hakumpi qualifiacation kwa kazi alipota miaka hiyo miaka mi3 iliyopita::
ebu toa izo qualification ebu wacha poyoyo tujue kaqualify au la
 
Mshinda angekuwa kichwa angeishakuwa hata associate professor. namfahamu sana mdini huyu. Na sijui team kama hiyo aliyoiondoa hapo costech ataipata kirahisi jinsi anavyowaza. Kwa wakurugenzi sawa sikatai kuondolewa kwao sababu ndo walikuwa kikwazo kikubwa mmoja wapo akiwa yeye sababu ya udini wake na kufananisha costech na IHI.

Nasikia kati ya waliofukuzwa muislam ni mmoja tu.

costech wamekuwa wakitangaza kazi za watu wenye phds takribani mara mbili hivi na hawapatikani. Sasa yeye anatimua seniors wenye phds na good background kama wale sijui atawapata wapi!
Hii issue ya dini naisikia sana, kama ndo inashika kasi hivi basi waislam wanajitengenezea wakati mbaya kwani wao wengi sio wasomi ukilinganisha na wakristo.
nyie ndio kutwa mada za dini hapa sijui mnatatizo gan nyie jamaa sehemu akiwa muislamu ana cheo amuishi majungu ebu wacheni chuki
 
Kuna watanzania ambao ni vipofu wa akili wakiona hijjab kumi kwenye ofisi wao huita ni ofisini ya upendeleo kwa waislam but hawana data za waislam ni wangapi ktk ofisi hizo.Watz tuacheni fitna hazitotufikisha mbali aloleta uzi huu na wengine kama huyu wana depression.
Iangalie COSTECH kabla na baada ya mshinda ndio ulete upuuzi kama huu au ukitaka zaidi muulize Maxcom atakueleza.Muislam akienda shule kelele,akiongoza kelele akiswali kelele unataka nini wewe usiye na elimu?.Zama zile za zamani zimeisha sasa hivi tunaangalia utanzania sio udini au ukabila.
Waislam ni wazuri kwa kuoa kwa hiyo ukipiga piga kelele kama hizi shauri yako.
 
Saidi Mwema....Said Mwema ni mkwe're wa kutoka kijiji cha Mwetemo Bagamoyo (kati ya Kiwangwa na Msata).
...Anhaaa! Kumbe!
 
Acha uongo na chuki binafsi...namjua Dr. Hassan Mshinda personally kama rafiki na pia likuwa boss wangu!

Google profile ya Dr Hassan Mshinda halafu niambie kama katika 'top ten' ya scientist wa Tanzania hatakuwepo! He is a PhD holder, Malariologist, research guru, with hundreds of research publications in 'internationally accredited' journals. Ana awards nyingi tu katika uwanja wa research kutokana na kazi zake katika malaria.

Dr Mshinda hana undugu wowote na Saidi Mwema....Said Mwema ni mkwe're wa kutoka kijiji cha Mwetemo Bagamoyo (kati ya Kiwangwa na Msata), Dr Mshinda ni mNgazija toka Shelisheli (Seychelles), hapa Tanzania alihamia akasoma, akaoa, akazaa, na anafanya kazi brilliantly.

Utendaji kazi wa Dr Mshinda ulimvutia JK wakati alipokuja Mkurugenzi wa shirika la afya duniani (WHO) Dr Margareth Chang, Chang mwenyewe alisalute kazi kubwa iliyofanywa na Ifakara Health Institute chini ya Dr Mshinda akiwa mkurugenzi, kiasi kuna guidelines kadhaa za WHO zimekuwa developed kufuatia tafiti za IHI. Hata waziri wa Afya wa sasa Dr Hadji Mponda ametokea IHI naye akiwa na tafiti na publications nyingi tu za malaria.

Kama ana mapungufu mengine hapo COSTECH jaribu kujenga hoja kwa hayo...lakini usisingizie alibebwa kupewa post hiyo kwa uswahiba wa kuunga na gundi kwa JK.
Huyu Dr Mshinda alisoma Medical Laboratory Diploma Miaka ya 1977-79 Muhimbili Central Laboratory. He was a kind person generally to all by then sisi tulikuwa tunasoma faculty tofauti naye...
 
Acheni majungu, nilifanya kazi COSTECH around 2005, hakukuwa na chochote cha maana wanachofanya zaidi ya kupiga deal tu

Angalau siku hizi naona kuna barua zinatoka kwenda UD,MUST DIT na NM-AIST kuhusu entrepreneurship competition na scholarship kibao!
Kwa sasa wanasimamia bootcamp kibao nchini! Kuna project kibao za kilimo zinaendelea, na wanamasponsor wengi zaidi!

Tatizo lenu mnaona dini yavmtu kwanza badala ya utendaji
Acheni majungu, kama katumbua majipu nayy apongezwe sio kwa sbb yy muislam basi hatakiwi kutumbua majipu
 
Mkuu kinachofanyika hapo COSTECH ndicho kinafanyika UDOM, kuna ubaguzi wa kidini. Ukiwa mtu wa dini amabayo wanailalamikia hupati kazi na walioajiriwa wanatishiwa kufukuzwa. Nasikia fukuza fukuza imepamba moto UDOM. Kwa kweli huu upendeleo utaliangamiza taifa hili. Nasikia hawa jamaa wanajiita wao kwa wao (watu dini moja) na siyo qualification, kupeana kazi zote za senior. Madai yao wao tu ndiyo wawepo chuo kizima.
Mkuu,

Tatizo letu kubwa ni Udini Yaani katika awamu hii ukiwa na jina la Hassan, Salum, Mohammed, Ramadhan, Juma, Yahya, Abeid, Karim etc hata ukafanya kazi nzuri tena kwa weledi utaambiwa ni mdini naona tunakoelekea siyo kuzuri kabisa maana hata ugaidi chanzo chake kikubwa ni kuona mtu au jamii fulani inadhulumiwa hivyo kutafuta njia mbadala kujisaidia

Nachelea kusema kwa mwendo huu wa kibaguzi hatupo mbali tutatoana ngeu tena muda si mrefu.

Rai yangu kwenu tusiangalie dini tuangalie sifa na uwezo wa mtu itatusaidia sana kuendelea kujenga nchi yetu.
 
Back
Top Bottom