Dr. Fenela njia nyeupe bungeni

Dr. Fenela njia nyeupe bungeni

Mnyika alikuwa akifanya kazi ya kuitoka nje ya bunge na kuenda kukaa kantini kuangalia na kufuatilia Bunge kupitia TV.[/QUOTE

]
Msifanye mzaha ,huyu mama amefanya kampeni ya kisayansi na si ya kimburula kwani inaelekea anazijua demographics za kibamba kuwa wakina mama ndio wengi kuliko wanaume na vijana hivyo concentration yake imekuwa kwenye makundi ya kinamama yaani vikoba na huko mnyika hafahamiki!! Sasa Mnyika akijapigwa bao msije mkaanza kusema kaabiwa; mama anafanya kampeni kisomi!!
 
kuna haja ya mtu kuwa Anaweka akiba ya maneno wakati anaongea. ona aibu sasa binti mzima kakimbia Uzi wake
 
NASIKIA fenela alihonga hadi MWILi wake kwa baadhi ya vijana wake wa kampeni waliombakikishia kupambana na wenye ushawishi ....hao vijana makada wa ccm wabaya Sana hata hawajui ma'am Zao
 
Mnyika alikuwa akifanya kazi ya kuitoka nje ya bunge na kuenda kukaa kantini kuangalia na kufuatilia Bunge kupitia TV.[/QUOTE

]
Msifanye mzaha ,huyu mama amefanya kampeni ya kisayansi na si ya kimburula kwani inaelekea anazijua demographics za kibamba kuwa wakina mama ndio wengi kuliko wanaume na vijana hivyo concentration yake imekuwa kwenye makundi ya kinamama yaani vikoba na huko mnyika hafahamiki!! Sasa Mnyika akijapigwa bao msije mkaanza kusema kaabiwa; mama anafanya kampeni kisomi!!

KUFANYA kampeni kupitia Vicoba NI gharama Sana ..kwani pale ukienda lazima uwe na pesa ya kuwaachia si pungufu ya milioni...
 
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM

Vipi mama kashinda kwa Asilimia ngapi???
 
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM


Hahahahaha hata diwani kakosa na ela alizokopa watamlipia watu Wa Lumumba hahahgaahahaha
 
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
Uliwahoji wote
 
Back
Top Bottom