Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,975
- 2,170
Vipi mama kashinda kwa Asilimia ngapi???
Kwa takwimu nilizosoma kwenye mitandao, Mnyika kapata kura 79,274 na Dr Mkangala kura 55,410. Aliye na updates atuwekee hapa!!
Vipi mama kashinda kwa Asilimia ngapi???
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
Kwa takwimu nilizosoma kwenye mitandao, Mnyika kapata kura 79,274 na Dr Mkangala kura 55,410. Aliye na updates atuwekee hapa!!
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
Dar yote iko Ukawa
Nani kachafua njia nyeupe ya huyu Dr. Uchwara wa msuko wa utii wa roda?Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
hajatosha na hatakuja kutosha kamwe mpaka masia arudi!mama fenela anatosha kwa kibamba atosha
KUFANYA kampeni kupitia Vicoba NI gharama Sana ..kwani pale ukienda lazima uwe na pesa ya kuwaachia si pungufu ya milioni...
Kama ni hivyo basi wakina mama wa Kibamba nao wamefaidi pension ya mgombea aliyopata kama kiinua mgongo!!
Kwa takwimu nilizosoma kwenye mitandao, Mnyika kapata kura 79,274 na Dr Mkangala kura 55,410. Aliye na updates atuwekee hapa!!
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
Kwa heri mnyika mnyika kauze nyanya
Asante Mama Mdogo kwa matokeo hayo nilikua nayo ila nilitaka mleta mada anijibu
Tatizo watu sio wapiga kura wa kibamba ila wanapenda sana kuwasemea
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
Aanh mnyika hana jipya kibamba hawez kubaki
Kwa heri mnyika mnyika kauze nyanya