Dr. Fenela njia nyeupe bungeni

Dr. Fenela njia nyeupe bungeni

Dr fenela akipata 20% ya kura Mimi najitoa humu jamii forum .hakubaliki kabisa
 
Mwaka huu ccm mtajuta mmeongeza majimbo ila ndio mnaumia zaidi
 
Asubiri kupewa ukuu wa wilaya kama yule aliyeshindwa ubungo 2010
 
Mbunge Mnafiki kwa jimbo la kibamba mwiko , mnyika aende akalime shamba la bibi yake hukooo
 
Dr fenela akipata 20% ya kura Mimi najitoa humu jamii forum .hakubaliki kabisa

John Mnyika ni jembe. Kibamba kuleni pesa za mama lakini kura kwa Mnyika. Rais Magufuli.tunataka wachapa kazi siyo mafisadi papa.
 
Hata mbunge wa chalinze alimlalamikia magufuli kwamba hakuna maji sembuse Mnyika.
 
Huyo Fenella anatoa wapi namba za wapiga kura anatuma sms za kuomba kura? Pesa zake zinaliwa bure, kura ni kwa Mnyika.
 
Kampeni aliyofanya huyu mama siyo ya mchezo ; mtakujakushtuka na mnavuta shuka wakati kumekucha!! Mnyika hawamjui Kibamba kwani muda wote alipokuwa mbunge hakuwafanyia lolote hivyo wanasema wanataka mabadiliko!!!
 
Kampeni aliyofanya huyu mama siyo ya mchezo ; mtakujakushtuka na mnavuta shuka wakati kumekucha!! Mnyika hawamjui Kibamba kwani muda wote alipokuwa mbunge hakuwafanyia lolote hivyo wanasema wanataka mabadiliko!!!

Mnyika alikuwa akifanya kazi ya kuitoka nje ya bunge na kuenda kukaa kantini kuangalia na kufuatilia Bunge kupitia TV.
 
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
Huyu mama yuko juu vijana watafurahia kumchagua
 
Back
Top Bottom