Dr. Fenela njia nyeupe bungeni

Dr. Fenela njia nyeupe bungeni

Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM

Dr FENELA kibamba ushindi ni wako
 
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
Huyu Dkt Fenella hana mpinzani kwani yule kijana wa ukawa hana jipya zaidi ya kukumbatia fisadi. Njaa mbaya
 
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM

Walikutumia kwa ujumbe wa simu hayo maoni ama uliwahi kupita kwa wanaKibamba wakakupa maoni yao?
 
Tuache matusi!!! Huyu mama namjua vizuri sana!!! Ni rafiki wangu wa karibu mnoo..kwanza kabisa ni dhahiri kuwa kwenye uchaguzi huu fenela yuko ICU..anahema kwa msaada wa mashine za oxygen..
 
Kibamba ipi unayozungumzia wew kuwa atashindaaa???!!! 😳😳😳😳
Kabla ya kuandika kitu hapa better hata ukaenda kupelelza kwanza usiandike vya kusimuliwaaa!!!!
 
Sisi ndo wapiga kura wa kibamba sasa sijui unazungumzia kibamba IPI. Maana mnyika anaingia bungeni na kuteuliwa waziri .
 
Kweli Kibamba hawataki kuckia habar ya mnyika mwaka huu analo.Dr.fenella ni shida Kibamba
 
hadi wazee, hata wamama hasa maeneo ya kimara , kibamba na kwingine kote kwenye shida ya maji hawataki kumsikia mnyika, kwa anayenibishia aende site akaulize

- Kwani Mnyika ni Wizara ya Maji?

- Kabla ya Mnyika, jimbo lilikuwa na mbunge wa CCM tangu uhuru, na hapakuwa na maji!

- Wananchi wa Ubungo na Kibamba wanaelewa jitihada za Mnyika kufuatilia maji, na wanaelewa alivyokuwa akikwamishwa.

- Mabomba ya kulea maji mjini hasa masaki, mikocheni nk, yanapita Kibamba, Ubungo nk, lakini majimbo hayo yana shida ya maji, Minyika ana husikaje hapo?

- Tangu uhuru, serikali inaimba wimbo wa kuwapa wananchi wake maji, lakini imechukua muda usiozidi miaka miwili kufikisha Gesi Kinyerezi kutoka Mtwara, Mnyika anahusikaje hapo?
 
Tuache matusi!!! Huyu mama namjua vizuri sana!!! Ni rafiki wangu wa karibu mnoo..kwanza kabisa ni dhahiri kuwa kwenye uchaguzi huu fenela yuko ICU..anahema kwa msaada wa mashine za oxygen..

Kibaya Zaidi, wenyeviti wa serikali za mtaa na baadhi ya matawi ya ccm anayoyatembelea hawamwambii ukweli Zaidi ya kumpamba ili awaachie ankara kwa ajili ya vijana, ambao kiuhalisia sio waaminifu kwa kampeni zake!
 
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM

Mmi ndio mkazi wa kibamba mbona ni mnyika tuuuu
 
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM

Hana cha huo mama. Kashindwa sana kwenye wizara yake ataweza jimbo? Hapo ni mnyika tuu.
 
Back
Top Bottom