Kevoo_keroo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 771
- 163
Dr Fenella yupo katika njia nyeupe kuelekea Bungeni, wakazi wa Kibamba wanadai Dr Fenella ataibuka kidedea katika Jimbo hilo,wakazi wa jimbo hilo wanasema wao ni Magufuli na Dr Fenella kutokana na uwezo wa kiutendaji kwa wagombea hao wa CCM
Dr Fenella na ushindi mnono
Kwa heri mnyika mnyika kauze nyanya
CCM ushindi mkubwa kwa wagombea wake
Mnyika ataipata fresh
Mama fenela anatosha kwa kibamba atosha
Aanh mnyika hana jipya kibamba hawez kubaki
magufuli kakosa watu kibamba kasepaaaa ...wewe unakuja na propaganda humuuuuuu