MCHUMIA NCHI
Member
- Nov 22, 2011
- 96
- 9
Post zako zimekaa ki..nge..se na inavyo onyeshe wewe utakua ga sh..o,tunazungumzia issue ya Dr Dau na viwanja kule Mafia,watu wanakueleza ukweli kua Dr Dau ni mdini wewe unaleta story za CHADEMA,Kua na MAJITU ya type yako humu JF ni tatizo kubwa sana.Dr Dau ni mtu makini sana na mchapakazi.Tatizo ninaloliona ni kwa baadhi ya watu kuwaandama viongozi waislam hasa wale wachapakazi bila hoja za msingi.Sijasikia mtu akilaumu uchapaji kazi wa Dr Dau zaidi ya hoja butu ati ni mdini.Dau ameongoza NSSF kwa mafanikio makubwa sana na naona watu wa aina yake kama yule wa NHC ndio wa kuwapa nchi.Maana tayari kuna kitu tangible wamefanya na tumekiona.sio tunashabikia MAHABUSU kila kukicha wale wa CDM ati CV zao wamejitoa mhanga kuwa wajelajela.upuuzi huu ndg zangu ktk imani ya ujamaa.
Dr Dau ni mtu makini sana na mchapakazi.Tatizo ninaloliona ni kwa baadhi ya watu kuwaandama viongozi waislam hasa wale wachapakazi bila hoja za msingi.Sijasikia mtu akilaumu uchapaji kazi wa Dr Dau zaidi ya hoja butu ati ni mdini.Dau ameongoza NSSF kwa mafanikio makubwa sana na naona watu wa aina yake kama yule wa NHC ndio wa kuwapa nchi.Maana tayari kuna kitu tangible wamefanya na tumekiona.sio tunashabikia MAHABUSU kila kukicha wale wa CDM ati CV zao wamejitoa mhanga kuwa wajelajela.upuuzi huu ndg zangu ktk imani ya ujamaa.
Nendeni mahakamani kama mnafikiri amefanya kitu kinyume cha sheria.
Kama hii ndio hoja ya "uenyeji" na "wageni" ndio inasimamiwa basi waliosema kuna suala la Ubaguzi waweza kuwa na hoja zaidi. Binafsi ningependa kusikia hoja kuwa taratibu zimevunjwa au sheria fulani imevunjwa, rushwa n.k Lakini kwamba Mngoni hawezi kununua Kiwanja Mafia kwa sababu anatoka Songea SIYO hoja na ikikubaliwa Mafia itabidi ikubaliwe sehemu nyingine nchini. Itakuwaje Mzaramo ambaye anataka kununua kiwanja Bukoba? au Mnyaturu anayetaka kununua kiwanja Kisarawe?
Ningependa hoja itolewe ambayo haihusiani na kuwagawa Watanzania kwa misingi ya mahali wanakotoka kwani Mtanzania anayo haki ya kununua ardhi mahali popote katika TAifa lake. Itolewe hoja yenye nguvu kidogo kuliko yenye hisia za kibaguzi maana kama hoja ya mahali inaweza kutolewa na ikaangaliwa itakuwaje kama wale wanaopewa ni Wakristu na wakazi wengi wa Mafia ni Waislamu? Je, Wakristu hawawezi kununua ardhi maeneo ya Waislamu wengi?
Labda swali ni sheria au taratibu gani zilikiukwa katika kuwapatia hao watu wengine viwanja? Na ni kweli hakuna wazaliwa wa mafia ambao wamegawiwa viwanja hivyo au ni wale waliopewa ili kuwanyamazisha?
Huyu jamaa waajabu. Kama anafikiri vizuri basi angesema basi hata hao watumishi wangebakia basi wale wamafia pekee wapige mzigo. Mtanzania yeyote naweza kuchkua kiwanja sehemu yeyote tanzania. Na sisi tuliotoka xxx na yyy na tunasaka viwanja hapa Dar angesemaje?Wakuu,
Jamaa huyu ambaye ni Mkurugenzi wa NSSF Dr Ramadhani K. Dau amezuia mchakato wa ugawaji wa viwanja Mafia sababu yeye na mdogo wake Mbaraka hawajapata viwanja vyote wanavyovitaka!!
Madai yake kwamba waliopewa si "wenyeji" wa Mafia bali tu ni watumishi wa serikali walioletwa Mafia hivyo hawana "haki" ya kuwa na viwanja Mafia. Pia suala la "udini" limeingia kwamba waliopewa eti wengi ni wakristo!!
Dr Dau kaandika barua Tamisemi na sehemu nyingine akipinga kwamba utaratibu haukufuatwa kugawa viwanja Mafia.
My take: sisi watanzania ambao tunafanya kazi Mafia hatuna haki kama watanzania? Kupata kiwanja Mafia ni lazima uwe resident wa Mafia? And if so is Dr Dau a resident of Mafia? Na mtumishi wa serikali aliyekaa miaka 15 Mafia siyo mkazi wa Mafia?
Mnatukwaza sisi watumishi wa serikali ambao hata "hatujui" kesho tutakuwa wapi!!?
Huyu jamaa waajabu. Kama anafikiri vizuri basi angesema basi hata hao watumishi wangebakia basi wale wamafia pekee wapige mzigo. Mtanzania yeyote naweza kuchkua kiwanja sehemu yeyote tanzania. Na sisi tuliotoka xxx na yyy na tunasaka viwanja hapa Dar angesemaje?
MWIZI mwingine huyo. Anajulikana hata kwao BWENI
Si kazi rahisi wataweza bila wageni wenyewe kwao hawakupendi wanaenda kwao asubuhi na ndege ya kukodi wanarudi jioni je huu si UFISADI? Baba yao mzee kereko ukiiona utaanguka ndo wataweza kudai haki za wananchi? Kuh viwanja tatizo DAU kakosa watumishi wangapi wamejenga mafia mpk leo iwe neno? Sifa za DR Dau anapenda kutukuzwa,mbinafsi,mdini na ROHO mbaya......
Mkuu sexon 2000, siwezi kukudai ushahidi kwa issues za NSSF wala hizo za PPF manake inawweza kukuwea ngumu hata kama issue ulizoongea ni kweli. hata hivyo, nimefarijika ki2 kimoja kwa maelezo yako kuhusu PPF wakati umenikatisha tamaa kuhusu NSSF. Ulipoongea kuhusu PPF, unaonesha umeongea kwa kujiamini kupita kiasi kwavile umeweza kutaja hata majina ya wahusika bila kuuma uma meno. Hata hivyo, umeshindwa kufanya hivyo kwa upande wa NSSF.....hii unanishawishi niamini kwamba una uhakika unachoongea kuhusu PPF lakini huna unachoongea kuhusu NSSF na badala yake umetawaliwa na dhahania. Ikiwa umeweza kuwataja hata MODS wa JF kwamba ni CORRUPTS, umeshindwa nini kutaja kwa majina hao wa NSSF?! Ni akina nani wameajiriwa NSSF kwa sababu tu ya dini zao?! Una uhakika kwamba hao ambao walihamishwa walifanywa hivyo kwa sababu tu ya dini zao na si vinginevyo? Umsema kwama aliwahamisha wakurugenzi wawili kwenda mikoani kwa sabau ni wakristo....je, ina maana NSSF ilikuwa na wakurugenzi wawili tu ambao ni wakristo?!
Umeamua kubadili majina au umetumwa?
sasa sikiliza wewe wasiliana na wenzio hata in private kisha mkirudi jaribuni ku co ordinate war strategy zenu mkiwa tayari hata mkija na na nondo mpya mie nitakuwa nawasubiri tuu kwani najua vita vya majini hamviwezi, vita vya ardhini vimewashinda na hali kadhali vita vya angani najua hamsubutu kuvianzisha
sasa wewe, bulji, DC, na jamaa yenu wa wa Dodoma woote unganeni kisha mkiwa tayari mrudi kama bado kaeni pembeni otherwise mtakuja kuaibika
MWIZI mwingine huyo. Anajulikana hata kwao BWENI
mbona anawajengea shule hapo mafia na nyumba hamsini za walimu hamsemi???
wajf wengine acheni kuleta chuki zenu binafsi humu,
hili sina hakika nalo lakini nitafanya uchunguzi na kikosi changuVipi, anajenga kwa pesa za mfukoni mwake au za NSSF? Unaweza kuzani unamsaidia kumbe ndo unaharibu zaidi,
kama ni pesa za NSSF busara inaelekeza kwamba investments za namna hiyo zikafanyike kwenye maeneo ambayo
NSSF inapata pesa kwa wingi zaidi, sina hakika kama NSSF inaweza kuwa na wananchama Mafia, unless niwe
naiunderstate Mafia.
Sabal kheir waheshimiwa
Ni kweli niliahidi kuleta listi na kwa kuongeza tuu JF imekuwa na members wengi sana Mafia kwa sababu ya thread hii...na mbaya zaidi ni kuwa jamaa wanahaha yaishe lakini ni sawa na maziwa yalomwagika.
Ile list ya wafanyakazi MAFISADI wa Halmashauri ya MAFIA wakiogawana viwanja hii hapa:
1. Oswin Kachenje S/N 27; Afisa Mipango Msaidizi
2. Chelu Mkombo S/N 24; Amehamishiwa Kisarawe yet kapata kiwanja
3. Simon Lendita S/N 25; Mwanasheria wa Halmashauri yuko masomoni yet kapata kiwanja
4. Nyabafa C Kigwa S/N 38; Amehamishwa yet kapata kiwanja
5. Makaroius Ngongi S/N 39; Ameacha kazi, ni mtoro amekimbia Mafia yet kapata kiwanja
6. Christopher Kitundu S/N 65; Ushirika yuko masomoni yet kapata
7. Bukuru Imani Bahati S/N 2; WWF
8. Clever Mwaikambo S/N 66; Hifadhi ya Bahari
9. Henjewele Joakim S/N 67; Afisa Ardhi (HUYU ITABIDI KUANZISHA THREAD YAKE SEPARATE ANA MAMBO MAZITO SANA)
10. Upendo Omari Lugongo S/N 3; Afisa Maji
11. Jeremia Tyembo S/N 6; Afisa Ugavi yuko masomoni yet kapata
12. Gelas Kyara S/N 8; Ujenzi
13. Michael Mdemu S/N 11; Bandari
14. Christopher Simbo S/N 14; Bandari
15. Rose Daniel Yangolo S/N 21; Afya
hizo namba ni namba za plots waliojigawia na mnaweza kuzitazama na viambatanisho vya hiyo list niliyopost hapo awali
Mkuu, huyo No.13 ni Michael Mdemu au Michelle Mdemu? Nahisi umechanganya na Michael Ezekiel a.k.a Mchupi na ndie aliye bandari. Michelle ni mama mmoja anapenda sana kugongwa na mayanki.....huyu mama yupo halmashauri-Idara ya Elimu,. Au ni mume wa huyo mama?! Manake kwa kipindi kirefu pale hakuwa na mume, cjui mume wake alikuwa wapi!!