Kesi kama za wakina lipumba hazina kichwa wala miguu ilikua ni kusumbua watu tu
Is that a day dreaming for Uwaziri?
Hajali chama? mbona usomeki mkuu ivi kuna tofuati gani kati ya Lipumba na James Mapalala
Tulilitegemea hilo kwani ilikuwa ni moja ya makubaliano kabla ya kupewa vile vibilioni na mwenzake wa karatu
kwahiyo Mahama zinafanya kazi kwa maelekezo ya Raisi?
kwahiyo Mahama zinafanya kazi kwa maelekezo ya Raisi?
Kuna harufu ya uteuzi hapo kwa Lipumba.Wacha tusubiri
Ile kesi ya kukutana bila kibali iliyokuwa inamkabiri prof; lipumba na wenzake leo hii imefutwa baada ya ofisi ya dpp kuona haina haja ya kuendelea na kesi hiyo.