nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Tulilitegemea hilo kwani ilikuwa ni moja ya makubaliano kabla ya kupewa vile vibilioni na mwenzake wa karatu
haaa haa habari ndo hiyo mkuu....
Tulilitegemea hilo kwani ilikuwa ni moja ya makubaliano kabla ya kupewa vile vibilioni na mwenzake wa karatu
Una uhakika gani labda wenzako wanafika jioni bila keleleNyota ya lipumba inawaka sana mkuu. Huenda akawa mmoja ya washauri wakuu wa rais. Kumbuka ndiyo mtu maarufu pekee mpaka leo hii aliyeenda Ikulu rasmi. Hata wanaCCM bado hawajafika Ikulu ya Magufuli
BREAKING NEWS:
MAJINA YA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI YAVUJA.
Mwigulu Lameck Nchemba(fedha na uchumi).
Cosato Chumi(ofisi ya rais-utawala bora).
Adadi Rajabu(ulinzi na jkt).
Ridhiwani Kikwete(tamisemi).
Anthony Mavunde(nishati na madini).
Angela Kairuki(maliasili na utalii).
Dr.Charles Tizeba(ujenzi na uchukuzi).
Saada Mkuya(ofisi ya makamu wa rais-muungano).
Ummy Mwalimu(katiba na sheria).
Dr.Dalali Kafumu(ofisi ya makamu wa rais-mazingira).
Eng.Gerson Lwenge(mawasiliano,sayansi na teknolojia).
Bonnah Kaluwa(jinsia,wanawake na watoto).
Nape Nnauye(ofisi ya waziri mkuu-sera,uratibu na bunge).
Shamsi Vuai Nahodha(ofisi ya rais-mahusiano na uratibu).
Dr.Hussein Mwinyi(afya na ustawi wa jamii).
Magreth Sitta(elimu na mafunzo ya ufundi stadi).
Herman Kapufi(afrika mashariki).
Dk.Charles Kitwanga(mambo ya ndani ya nchi).
Dk.Faustine Ndungulile(kilimo,chakula na ushirika).
Janeth Mbene(viwanda,biashara na masoko).
Itaendelea.......
mwenye uhakika atujuze nimeichota sehemu
Taarifa zilizopatikana ni kuwa ile kesi ya prof Lipumba na wenzake imefutwa.
Nini tafsiri ya hii kitu wakuu?
=============
Update
Kesi iliyokuwa inamkabili Prof Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila kibali imefutwa hii leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, kumbuka kesi hii Ilitakiwa isomwe Jan. 15.2016, ikarudishwa nyuma na kusikilizwa leo asubuhi ambapo imefutwa rasmi.
Ulipochemsha ni kumuweka ridhi na makonda sio type ya magu
Safi sana JPM kweli wewe hujali chama, dalili njema kwa leprofeseri
Mtu ashatinga Ikulu na masuti na briefcase kunongona na mzee wa kupasua majipu. Kwanza Lipumba sidhan kama kura yake alimpa E.Lowassa nina mashaka.
Hajali chama? mbona usomeki mkuu ivi kuna tofuati gani kati ya Lipumba na James Mapalala
Yes, Lipumba kichwa aidha waziri wa Fedha au Mipango!
It's your Whish bro!!
Unless hiyo serikali ni ya Magufuli na siyo serikali ya CCM....................!!
Huyu ndiye mzalendo anajua wapo vichwa watamsaidia kulitoa taifa gizani.