Ili lilikuwa la mzee wa Mtama, aliyekuwa wakipishana angani kama nchi inaungua vile!BREAKING NEWS:
MAJINA YA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI YAVUJA.
Mwigulu Lameck Nchemba(fedha na uchumi).
Cosato Chumi(ofisi ya rais-utawala bora).
Adadi Rajabu(ulinzi na jkt).
Ridhiwani Kikwete(tamisemi).
Anthony Mavunde(nishati na madini).
Angela Kairuki(maliasili na utalii).
Dr.Charles Tizeba(ujenzi na uchukuzi).
Saada Mkuya(ofisi ya makamu wa rais-muungano).
Ummy Mwalimu(katiba na sheria).
Dr.Dalali Kafumu(ofisi ya makamu wa rais-mazingira).
Eng.Gerson Lwenge(mawasiliano,sayansi na teknolojia).
Bonnah Kaluwa(jinsia,wanawake na watoto).
Nape Nnauye(ofisi ya waziri mkuu-sera,uratibu na bunge).
Shamsi Vuai Nahodha(ofisi ya rais-mahusiano na uratibu).
Dr.Hussein Mwinyi(afya na ustawi wa jamii).
Magreth Sitta(elimu na mafunzo ya ufundi stadi).
Herman Kapufi(afrika mashariki).
Dk.Charles Kitwanga(mambo ya ndani ya nchi).
Dk.Faustine Ndungulile(kilimo,chakula na ushirika).
Janeth Mbene(viwanda,biashara na masoko).
Itaendelea.......
mwenye uhakika atujuze nimeichota sehemu
Taarifa zilizopatikana ni kuwa ile kesi ya prof Lipumba na wenzake imefutwa.
Nini tafsiri ya hii kitu wakuu?
=============
Update
Kesi iliyokuwa inamkabili Prof Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila kibali imefutwa hii leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, kumbuka kesi hii Ilitakiwa isomwe Jan. 15.2016, ikarudishwa nyuma na kusikilizwa leo asubuhi ambapo imefutwa rasmi.
gazeti la al-huda limeandika magufuli amempa lipumba kazi ya kuandika andiko la hali ya uchumi nchini.
Safi... Tusubirie
Yes, Lipumba kichwa aidha waziri wa Fedha au Mipango!
BREAKING NEWS:
MAJINA YA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI YAVUJA.
Mwigulu Lameck Nchemba(fedha na uchumi).
Cosato Chumi(ofisi ya rais-utawala bora).
Adadi Rajabu(ulinzi na jkt).
Ridhiwani Kikwete(tamisemi).
Anthony Mavunde(nishati na madini).
Angela Kairuki(maliasili na utalii).
Dr.Charles Tizeba(ujenzi na uchukuzi).
Saada Mkuya(ofisi ya makamu wa rais-muungano).
Ummy Mwalimu(katiba na sheria).
Dr.Dalali Kafumu(ofisi ya makamu wa rais-mazingira).
Eng.Gerson Lwenge(mawasiliano,sayansi na teknolojia).
Bonnah Kaluwa(jinsia,wanawake na watoto).
Nape Nnauye(ofisi ya waziri mkuu-sera,uratibu na bunge).
Shamsi Vuai Nahodha(ofisi ya rais-mahusiano na uratibu).
Dr.Hussein Mwinyi(afya na ustawi wa jamii).
Magreth Sitta(elimu na mafunzo ya ufundi stadi).
Herman Kapufi(afrika mashariki).
Dk.Charles Kitwanga(mambo ya ndani ya nchi).
Dk.Faustine Ndungulile(kilimo,chakula na ushirika).
Janeth Mbene(viwanda,biashara na masoko).
Itaendelea.......
mwenye uhakika atujuze nimeichota sehemu
kesi iliyokuwa inamkabili prof Ibrahimu lipumba imefutwa rasmi .kesi ya lipumba ilikuwa imepangwa kusikilizwa tar 15 jan 206 hivyo imesitishwa kwa dharula leo na kufutwa, Je?prof Lipumba anaweza kupewa kitengo na magufuli