Mkuu sheikh ponda hajaachiwa ila kashinda kesi
Na hukumu yake ilikua imeandaliwa tarehe 18/18/2015 hata kabla uchaguzi haujafanyika kaka uwe unaongea na ushahidi
Rekebisha tarehe kabla hatujakuhisi muongo
Mkuu sheikh ponda hajaachiwa ila kashinda kesi
Na hukumu yake ilikua imeandaliwa tarehe 18/18/2015 hata kabla uchaguzi haujafanyika kaka uwe unaongea na ushahidi
Rekebisha tarehe kabla hatujakuhisi muongo
Lipumba ni ccm wa damu kabisa, ni sawa na kitanda usichokilalia tu
Watu wanaosema Lipumba ni mxuri katika mipango na uchumi, ilikuwaje akashindwa kuipaisha CUF kiuchumi na kimaendeleo? Au mpaka apewe nafasi serikalini ndipo aweze kuonesha umahiri wake?
Duhhh mkuu umesema ukweli mweupeeeeeeeee ambao nimeusema siku zote.
Bingwa wa uchumi mfukoni mwake?
Kwa hiyo atateuliwa kuwa mbunge wa ccm au?
Ajitoe ufahamu tu achukue kadi yetu ya ccm then tumpe uwaziri wa fedha au ugavana.
ile kwenda ikulu kabla ya kufuta ile kesi kumeondoa thamani ya ufutaji wa hiyo kesi....