DPP amfutia mashtaka Prof. Lipumba na wenzake

DPP amfutia mashtaka Prof. Lipumba na wenzake

Safi sana JPM kweli wewe hujali chama, dalili njema kwa leprofeseri

ahaaaa!!!!!Makamba asitegemee lolote ktkt Serikali yaMagufuli. amemsema raid eti anachafua kapeti alilopitia. yeye alifikiri huyu Ni sawa na kikwete no. huyu Ni Man of God
 
Kesi za walalahoi zinapigwa dana dana
na kuishia kukaa mahabusu kwa miaka kadhaa
ila wenye kesi mahakamani wanaitwa mpaka
Ikulu kwenda kuonana na mkulu wa kaya tena
na kumpa ushauri.

Shame on u jeshi la mwera.
 
uwaziri bila ubunge? kumbuka bunge lishaghairishwa mpaka januari. na mawaziri watatangazwa karibuni. kwahiyo hata magufuli ampe ubunge lipumba leo hawezi kuutumikia mpaka aapishwe na bunge halipo kwa sasa.
 
mnaota nyinyi. Hata magufuli akimpa ubunge Lipumba leo hawezi kuutumikia bila ya kuapishwa bungeni. na bunge ni mpaka januari.huku baraza la mawaziri likitarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia leo.
 
Kile kichapo walichokipata ni adhabu tosha, maana amri ilikuwa WAPIGWEATU.
 
Watu wanaosema Lipumba ni mxuri katika mipango na uchumi, ilikuwaje akashindwa kuipaisha CUF kiuchumi na kimaendeleo? Au mpaka apewe nafasi serikalini ndipo aweze kuonesha umahiri wake?
 
Ilavkm viongozi wetu wa upinzani watakuwa type ya Lipumba upinzani hautakaa usonge mbele! Ngoja tusubiri tuone zawadi atakayopewa kwa kuwasaidia ccm ktk chaguzi kila wanapobanwa!
 
Kesho anafutiwa Case Babu Seya
Shikamooo Rais Magufuli
 
Hekima za usaliti, malofa huzielewa baadaye! Lipumba alijivua gamba la kumpigia debe fisadi tukamuona msaliti. Eti leo sasa tunamuona jembe. Ni kweli, jamaa ni JEMBE!
 
Mbona Shekh Ponda naye kaachiwa huru juzi, tutegemee nini kwa Sherk Ponda soon?

Mkuu sheikh ponda hajaachiwa ila kashinda kesi

Na hukumu yake ilikua imeandaliwa tarehe 18/18/2015 hata kabla uchaguzi haujafanyika kaka uwe unaongea na ushahidi
 
analipwa ujira wake kwa kazi aliyoifanya kipindi cha uchaguz....... kesi nyingi wanazopewaga wapinzan hua za kubambikia tu ilimrad kukupotezea mda usifanye kazi zako kwa ufasaha ndo mana kesi za uchochez, kuandamana bila kibali, unlawful gathering na sasa cybercrime zinatumika kwa wapinzan wa kweli tu huwez tegemea mtu kama zito apate misuko suko kama hiyo kwan ni mwenzao!!!
 
Tatizo lilikuwa uraisi. Vile raisi keshapatikana, kesi kama hizo hazina tena tija kwa taifa wala chama tawala.... Hongera kwa Lipumba na wenzake kuwekwa huru katika aridhi yao...
 
Napendekeza kuwe na wizara ya uchumi, ambayo inaunganisha fedha, mipango, biashara na viwanda.
 
Back
Top Bottom