Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,102
- 1,909
So tutegemee tangazo la uteuzi wa ubunge kwa Lipumba soon....may be tommorow
uwaziri unanukia kwa lipumba
Waiverify na majina yako ya ajabu? Angalia verified users kama wana majina ya vichakani.
Nirudi kwa mada.
Lipumba nategemea awe wazir wa fedha
Mods ahsanteni sana leo nmefurahia kuwa mwanajamii forum
Mui verify account yangu sasa
Katika waliotia Fola kwenye hii thread basi ni wewe, watu wana majina yao halisi na wanajulikana lakini bado hawajawa Verfied uwe na jina lako utafikiri Mchawi wa Mkwere...labda mimi sijui maana ya kuwa Verfied...mnisaidie jamani.
BREAKING NEWS:
MAJINA YA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI YAVUJA.
Mwigulu Lameck Nchemba(fedha na uchumi).
Cosato Chumi(ofisi ya rais-utawala bora).
Adadi Rajabu(ulinzi na jkt).
Ridhiwani Kikwete(tamisemi).
Anthony Mavunde(nishati na madini).
Angela Kairuki(maliasili na utalii).
Dr.Charles Tizeba(ujenzi na uchukuzi).
Saada Mkuya(ofisi ya makamu wa rais-muungano).
Ummy Mwalimu(katiba na sheria).
Dr.Dalali Kafumu(ofisi ya makamu wa rais-mazingira).
Eng.Gerson Lwenge(mawasiliano,sayansi na teknolojia).
Bonnah Kaluwa(jinsia,wanawake na watoto).
Nape Nnauye(ofisi ya waziri mkuu-sera,uratibu na bunge).
Shamsi Vuai Nahodha(ofisi ya rais-mahusiano na uratibu).
Dr.Hussein Mwinyi(afya na ustawi wa jamii).
Magreth Sitta(elimu na mafunzo ya ufundi stadi).
Herman Kapufi(afrika mashariki).
Dk.Charles Kitwanga(mambo ya ndani ya nchi).
Dk.Faustine Ndungulile(kilimo,chakula na ushirika).
Janeth Mbene(viwanda,biashara na masoko).
Itaendelea.......
mwenye uhakika atujuze nimeichota sehemu