Kama ndivyo si afadhali angenyamaza kuliko kutoa sababu za kijinga kama hivyoKwahiyo ni uamuzi tu,usio na tija,ni uamuzi unaotumika kisiasa,
Yaani unaamua tu,unaamka asubuh,umetoka kulala na mkeo,unacheki Sheria inakuruhusu kufanya kitu flani,unafanya,tu,hakuna mchakato,hakuna maandalizi,na kwanini unamuachia mtu,usiku,siku nzima,ulikuwa wapi,kwanini siku hiyo usiku,huyu jamaa,akili hana. Kabisa,
Hata Rais anammlaka ya kusamehe wafungwa,lakini hakurupuki tu,katoka,kukata gogo,anapiga simu magereza,na kuwaambia muachieni fulani.
Pls do not insult our intelligence,this is a fuckup,
Ni jambo jema!
Kutoka mahabusu direct Bungeni hata Nelson Mandela alipumzika kidogo kabla hajatimba Ikulu.
Mungu mbariki Nusrat!
Hivi hii account imehakiwa?Ni jambo jema!
Kutoka mahabusu direct Bungeni hata Nelson Mandela alipumzika kidogo kabla hajatimba Ikulu.
Mungu mbariki Nusrat!
Bila shaka na mahakama iliyosikiliza hizo hoja za kumwachia ilikesha!DPP alikuwa pale magereza akiwasikiliza mahabusu hadi usiku na kutoa maamuzi.
Kuna katazo kwa mtumishi wa umma kufanya kazi hadi usiku.
Acha kukariri wewe!
Mahakama inapewa taarifa tu!Bila shaka na mahakama iliyosikiliza hizo hoja za kumwachia ilikesha!
Ni jambo jema!
Kutoka mahabusu direct Bungeni hata Nelson Mandela alipumzika kidogo kabla hajatimba Ikulu.
Mungu mbariki Nusrat!
Kwahiyo wewe unaijua kazi ya DPP kuliko Biswalo na AG plus Spika Ndugai?
Tatizo hapo Ufipa mnajifanya wajuaji sana.Bwashee hlo swal la kijinga sana tafuta lingne
Mkurugenzi wa mashtaka nchini Tanzania (DPP), Biswalo Mganga leo Jumatano Desemba 2, 2020 ameeleza uamuzi wake wa kumfutia mashtaka kada wa CHADEMA, Nusrat Hanje ambaye Novemba 27, 2020 alivuliwa uanachama wa chama hicho pamoja na wenzake 18.
Nusrat ambaye alikuwa katibu wa baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) alikaa mahabusu siku 163 na siku moja baada ya kutoka mahabusu jina lake lilikuwa miongoni mwa majina 18 ya wanawake walioapishwa Novemba 24, 2020 mjini Dodoma kuwa wabunge wa viti maalum.
Mbali na CHADEMA kupinga kuapishwa kwa wanawake hao kwa madai kuwa majina yao hayakupitishwa na kamati kuu ya chama hicho na kwamba kilichofanyika ni usaliti, pia walihoji kitendo cha Nusrat kutoka mahabusu na moja kwa moja kuapishwa wakati alipaswa kujaza fomu Novemba 20, 2020 na alitoka mahabusu wakati muda wa kujaza fomu hiyo ukiwa umepita.
Akizungumza na wanahabari leo katika gereza kuu la Karanga mjini Moshi, Mganga amesema yeye ndio aliyemwachia kada huyo kutokana na mamlaka aliyonayo chini ya kifungu 91 cha CPA cha 2002.
DPP Mganga alitoa kauli hiyo wakati akitoa taarifa ya kuwafutia mashtaka watuhumiwa 72 ambao walikidhi sifa za kufutiwa mashtaka kutokana na sababu mbalimbali zikiwamo za kubambikiwa makosa.
Mganga alimtaja mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuwa yeye na wenzake angeweza kuwashtaki kama Nusrat lakini aliamua kufuta mpango huo kutokana na uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020.
Mods nadhan hii ID imedukuliwa.msaada wenu arejeshewe mmiliki halali johnthebaptist mwenyeweNi jambo jema!
Kutoka mahabusu direct Bungeni hata Nelson Mandela alipumzika kidogo kabla hajatimba Ikulu.
Mungu mbariki Nusrat!
Tatizo hapo Ufipa mnajifanya wajuaji sana.
Sasa kama kumbe DPP anaweza Kuamua tu Kuwafutia Mashtaka walioko Gerezani mbona wapo Watanzania wengi waliosingiziwa na hawasamehi?
The man is very hopeless like a small donkey. Amefafanua nini sasa hapo .Mkurugenzi wa mashtaka nchini Tanzania (DPP), Biswalo Mganga leo Jumatano Desemba 2, 2020 ameeleza uamuzi wake wa kumfutia mashtaka kada wa CHADEMA, Nusrat Hanje ambaye Novemba 27, 2020 alivuliwa uanachama wa chama hicho pamoja na wenzake 18.
Nusrat ambaye alikuwa katibu wa baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) alikaa mahabusu siku 163 na siku moja baada ya kutoka mahabusu jina lake lilikuwa miongoni mwa majina 18 ya wanawake walioapishwa Novemba 24, 2020 mjini Dodoma kuwa wabunge wa viti maalum.
Mbali na CHADEMA kupinga kuapishwa kwa wanawake hao kwa madai kuwa majina yao hayakupitishwa na kamati kuu ya chama hicho na kwamba kilichofanyika ni usaliti, pia walihoji kitendo cha Nusrat kutoka mahabusu na moja kwa moja kuapishwa wakati alipaswa kujaza fomu Novemba 20, 2020 na alitoka mahabusu wakati muda wa kujaza fomu hiyo ukiwa umepita.
Akizungumza na wanahabari leo katika gereza kuu la Karanga mjini Moshi, Mganga amesema yeye ndio aliyemwachia kada huyo kutokana na mamlaka aliyonayo chini ya kifungu 91 cha CPA cha 2002.
DPP Mganga alitoa kauli hiyo wakati akitoa taarifa ya kuwafutia mashtaka watuhumiwa 72 ambao walikidhi sifa za kufutiwa mashtaka kutokana na sababu mbalimbali zikiwamo za kubambikiwa makosa.
Mganga alimtaja mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuwa yeye na wenzake angeweza kuwashtaki kama Nusrat lakini aliamua kufuta mpango huo kutokana na uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020.
Mkuu Genta navutiwa sana na michango yako. Huwa huna unafiki kabisa, upande wowote ukikosea unakemea na ukifanya vizuri unasifiaSasa kama kumbe DPP anaweza Kuamua tu Kuwafutia Mashtaka walioko Gerezani mbona wapo Watanzania wengi waliosingiziwa na hawasamehi?
Asante kwa Kuvutiwa nami hapa JF Mkuu. Na tabia yangu hii hii ya kuwa Muwazi na Mkweli imenifanya niwe Mchukiwaji na Mpigwa Majungu sana.Mkuu Genta navutiwa sana na michango yako. Huwa huna unafiki kabisa, upande wowote ukikosea unakemea na ukifanya vizuri unasifia