Mkuu please tupia link basi na sie tufaidi.Mda EPL sasa Halotel ndio mwake totenham~Arsenal
Ntafanya hivyo..kwa sasa sipo tena nipo likizo...backup na screenshot itakua vizuri
Mkuu unatumia modem?halotel
inaniwezesha kustream epl, la liga online.
ni sheeeda
Ni speed kubwa..na pia kutokana bado subscribers sio weng sana...Ni peed kubwa au wana subsribers wachache?
Tatizo lako kama languConfigurations zao ni zipi hawa Jamaa maana nikiweka line kwenye simu yangu haisomi upande wa Internet
Ukipata solution nijulishe, nikipata ntakujulisha piaTatizo lako kama langu
Kaka Maeneo ya Manzese ninakoishi hadi Kigogo 3G ya tigo ovyo kabisa,ukienda huko Toangoma ndiyo hata network upati.si kweli nimetumia mitandao yote miwili na 4g ya tigo ina speed zaidi, una simu ya 4g? umetumia wapi hio 4g ya tigo?
3g kuwa slow inamaana watu wengi wanatumia 3g na uwezo wa miundombinu ni mdogo, mtandao unapoanzisha 4g inamaana watu baadhi wataondoka 3g kwenda 4g hivyo hii itawasaidia wote watumiaji wa 3g na 4g sababu wakipungua watu wa 3g speed itaongezeka ya wa 4g pia watapata speed nzuri
Ingia kwenye setting ya net nenda kwenye network operator halafu nenda point name acessUkipata solution nijulishe, nikipata ntakujulisha pia
kwa bundle za internet *148*66# kwa bundle za chuo *148*55#
there are special line for univesity offer you can get it around any halotel university freelencer
U can subscribe Within the campus or off the campus
naomba nielekeze jinsi ya kudowload movies kwenye pc plsMi juzi nilishusha Gb 13 usiku nilimaliza movies zote
modem zao za internet zikoje na bei gani?zinahitaji line zao au?kwa university bundle still Airtel wapo juu,
-kwanza unapewa dakika chache za mitandao yote, kama sjakosea ni tano
-pili hauhitaji line ya mwanafunzi, line yoyote inafaa just ununue tu vocha za mwanafunzi
-Gb zao wanazotoa ni nyingi kwa 600 unapata 1.2gb na lisaa 1 la kuongea na sms za kutosha pia whatsapp/fb/twitter ni bure
hivyo ukifanya mahesabu kwa mwezi kama unanunua kifurushi cha siku 2 cha 600 hizi ndio gharama
-600 kwa siku 2 kwa mwezi utanunua mara 15
600x15=9,000
hivyo gharama yako ya mwezi itakuwa 9,000
-gb 1.2x15=18
utapata gb 18 kwa mwezi
-dakika 55 airtel kwenda airtel 55x15 = 825
-dakika 5 mitandao yote 5x15 = 75
so kwa 9000 utapata gb 18 dk 825 (airtel-airtel) na dk 75 mitandao yote. hakuna mtandao Tanzania unaoipita hii offer