Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

Mi nishawah download kwakutia hallotel episode moja ya mb 300 kwa dakika tatu tu sikuamini na ilikuwa mchana tu wakati tgo inaweza ikawa hata masaa manne ku download episode moja mchana salute hallotel
Dk 3?!!!!!!, kwa simu au kompyuta?
 
Wakuu sema tigo nao wamejitahidi nilivyo upgrade line nimewakubali speed yao sema tu vifurushi ndio hawajui. 4MB/s sio mchezo

c15cb1d0de1ff3001d0989a4ef99c667.jpg
 
hivi hadi najiuliza huko wanapotekenya halotel spidi inakua kubwa wengne hawawez au ndo wameshikwa pabaya
Mkuu hawa watu wana cable nyingi....hata kuwe na jam kiasi gan spid yao itakua juu tuu....Wamewekeza vizuri asee
 
kwa speed aliopost utakuja episode ya mb300 unadownload kwa dakika 1 na sekunde kadhaa.

kwa eneo langu almost mitandao yote napata zaidi ya 8mbps so kudownload episode kwa dakika 3 ni kawaida tu.
Kwa hyohyo halotel au tgo 4G?!....hlf mbn hamnijibu ni kwa sim au PC?
 
Chief ukizungumzia airtel kwangu hatasiku moja sitokaa nikuelewe labda nihame nilipo maana hapa nilipo airtel inaandika H+ lkn hata kusogea 1kb haisogei.
Kwangu Halotel ni mkombozi kupata 3g eneo ambalo sikufikiria kama ingekuja hii huduma kwa mitandao kongwe.
sijui hii inakuwaje am facing the sane situation
 
Bonaddi sijaona speed ya ziada kutoka halotel ..hata line nishatupa Airtel s th best especially kama ni mtumiaji wa Bundle saana
 
Bonaddi sijaona speed ya ziada kutoka halotel ..hata line nishatupa Airtel s th best especially kama ni mtumiaji wa Bundle saana
Kwa eneo lako labda..anyway embu weka speedtest ya airtel
 
hii thread imebadilisha maisha yangu!! nimehamia halotel...
aisee sijaona E aka Edge tangu day 1. kitu kinacheza H+++++ Full time, wakati mwanzo
nikiwa na tigo 3g naipata nikitoka nje ya nyumba nangatwa na mbu huku nadownload no pain no gain nilikuwa najifariji..
ukitaka kutumia ndani unahamisha line na kutumia vodacom!!! ila mb kiduchu... nimekomaa hivyo hivyo, sasa hii halotel niliona ya kishamba kumbe mie ndie mshamba... aisee halotel ni noma!!!
thanks guys ubishi hauna maana
 
Nini 4g hata mngekuwa 8g++ kwa halotel ni habari nyingine na mtandao wenu wa kariakoo huko
watu kwa kujipa moyo hawajambo huku nilipo 4g ya tigo downloading speed inagonga 3mbps lakini halotel wanacheza 300 mpaka 500 kbps sasa hapo sidhani hata waweza fananisha na hata Dar pia ilikuwa hivyohivyo kwangu.
 
Je movie ya km 1GB au 2Gb ni km dk ngp?
Tuseme on average speed ya tigo 4g ni 3MBps ikikaa hivyo bila tatizo lolote (siunawajua tigo wanavyozingua) yaweza chukua dakika 5..

Tusubirie voda, airtel au halotel walaunch 4g na uhakika itakuwa funika
 
Back
Top Bottom