Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

kwa university bundle still Airtel wapo juu,
-kwanza unapewa dakika chache za mitandao yote, kama sjakosea ni tano
-pili hauhitaji line ya mwanafunzi, line yoyote inafaa just ununue tu vocha za mwanafunzi
-Gb zao wanazotoa ni nyingi kwa 600 unapata 1.2gb na lisaa 1 la kuongea na sms za kutosha pia whatsapp/fb/twitter ni bure

hivyo ukifanya mahesabu kwa mwezi kama unanunua kifurushi cha siku 2 cha 600 hizi ndio gharama

-600 kwa siku 2 kwa mwezi utanunua mara 15
600x15=9,000
hivyo gharama yako ya mwezi itakuwa 9,000

-gb 1.2x15=18
utapata gb 18 kwa mwezi

-dakika 55 airtel kwenda airtel 55x15 = 825
-dakika 5 mitandao yote 5x15 = 75

so kwa 9000 utapata gb 18 dk 825 (airtel-airtel) na dk 75 mitandao yote. hakuna mtandao Tanzania unaoipita hii offer
Kimahesabu, hata night bundle ya Airtel ni very cheap compared to Halotel ingawaje practically, hususani kama unatumia vocha za kukwangua za Airtel na haupo makini, unaweza kukuta end result ya Airtel inakuwa expensive zaidi kulinganisha na Halotel. Uzuri wa Halotel kwa upande wangu, zile 18GB za night offer huwa zinaisha kutokana na speed yake lakini zile 10GB za Airtel huwa aziishi! What I don't understand kwa Airtel ni kwamba, nikichukua night bundle ya 1GB speed inakuwa kubwa lakini 10 GB inakuwa ndogo-- am not sure kwamba inatokana siku na siku kutegemea na idadi ya watu waliojiunga na bundle husika or ni mbinu za kibiashara!
 
hawa akina voda walikuwa na nafasi nzuri ya kujiimarisha hadi vijijin lakin kiburi chao ndo hicho ndo kimewafanya wasipeleke huduma vijijin et kwa kuwa hamna wateja . sasa watashika adabu wenzao wameona fursa wakaitumia na sasa wananchi wameenza kuielewa vodacom kuliko mtandao mwingine wowote
 
Tunawasifu sawa ila bado trafic yao ndgo So tunaomba tujae tuwe weng halaf tuone ka hatujarud kwa watu wazima
 
hawa akina voda walikuwa na nafasi nzuri ya kujiimarisha hadi vijijin lakin kiburi chao ndo hicho ndo kimewafanya wasipeleke huduma vijijin et kwa kuwa hamna wateja . sasa watashika adabu wenzao wameona fursa wakaitumia na sasa wananchi wameenza kuielewa vodacom kuliko mtandao mwingine wowote
Haaah haaaah kumbe wanaielewa Vodacom
 
kwa university bundle still Airtel wapo juu,
-kwanza unapewa dakika chache za mitandao yote, kama sjakosea ni tano
-pili hauhitaji line ya mwanafunzi, line yoyote inafaa just ununue tu vocha za mwanafunzi
-Gb zao wanazotoa ni nyingi kwa 600 unapata 1.2gb na lisaa 1 la kuongea na sms za kutosha pia whatsapp/fb/twitter ni bure

hivyo ukifanya mahesabu kwa mwezi kama unanunua kifurushi cha siku 2 cha 600 hizi ndio gharama

-600 kwa siku 2 kwa mwezi utanunua mara 15
600x15=9,000
hivyo gharama yako ya mwezi itakuwa 9,000

-gb 1.2x15=18
utapata gb 18 kwa mwezi

-dakika 55 airtel kwenda airtel 55x15 = 825
-dakika 5 mitandao yote 5x15 = 75

so kwa 9000 utapata gb 18 dk 825 (airtel-airtel) na dk 75 mitandao yote. hakuna mtandao Tanzania unaoipita hii offer
Hata upewe GB laki, tatizo speed
 
kwa university bundle still Airtel wapo juu,
-kwanza unapewa dakika chache za mitandao yote, kama sjakosea ni tano
-pili hauhitaji line ya mwanafunzi, line yoyote inafaa just ununue tu vocha za mwanafunzi
-Gb zao wanazotoa ni nyingi kwa 600 unapata 1.2gb na lisaa 1 la kuongea na sms za kutosha pia whatsapp/fb/twitter ni bure

hivyo ukifanya mahesabu kwa mwezi kama unanunua kifurushi cha siku 2 cha 600 hizi ndio gharama

-600 kwa siku 2 kwa mwezi utanunua mara 15
600x15=9,000
hivyo gharama yako ya mwezi itakuwa 9,000

-gb 1.2x15=18
utapata gb 18 kwa mwezi

-dakika 55 airtel kwenda airtel 55x15 = 825
-dakika 5 mitandao yote 5x15 = 75

so kwa 9000 utapata gb 18 dk 825 (airtel-airtel) na dk 75 mitandao yote. hakuna mtandao Tanzania unaoipita hii offer
Tumechoka
 
Configurations zao ni zipi hawa Jamaa maana nikiweka line kwenye simu yangu haisomi upande wa Internet
 
Nilienda Kaliua urambo tabora nov 2015, nilipata shida sana na line zangu za voda tigo na airtel, nikaona vibanda vya halotel nikauliza kwanza yule muuza vocha akanionyesha simu yake ikiwa na h+, fasta nikachukua aisee kwa mara ya kwanza niliweza pata 3g vijijini mpaka leo ninayo nipo znz, 3g mwendo mdundo, kweli shikamoo halotel
 
Back
Top Bottom