Lazaroj
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,451
- 1,051
Mkuu buku unapata gb ngapi?kwa bundle za internet *148*66# kwa bundle za chuo *148*55#
Mkuu buku unapata gb ngapi?kwa bundle za internet *148*66# kwa bundle za chuo *148*55#
hapo kwenye 500 ya chuo unapopata mb 500 kwa wiki kupitia line ya chuo uzuri wake ni kwamba unaweza hata kujiunga mara 1000 bila kuwa na limitations zozote,mimi huwa nanunua vocha za 3000 kwa wiki then najiunga mara 6 kwa kifurushi cha 500 kwa wiki then nakuwa na GB 3 zinanitosha ku'stream tv wiki zima,nani kama halotel...Kifurushi cha mia tano line ya mwanachuo unapewa mb500 kwa wiki
Wakati ya kawaida ni 200 kwa siku
1500 una pewa dk 150 halo to halo sms 1500 ma gb1 kwa wiki.
Na mengine mengi.
Sure mkuu hilo swali ni lazima tujiulize... Kwann halotel tu na mispidi yote.hivi hadi najiuliza huko wanapotekenya halotel spidi inakua kubwa wengne hawawez au ndo wameshikwa pabaya
Hao tigo kwisha hbr yao.... Ni maudhi tu.Tigo hata wakiwa na 6G hakuna kitu
4G ya tigo ni 2G ya airtel my opinion
Umeonaee4G tgo ni illusion tu.
Issue itabak kuwa ni location yako tu..nipo kigamboni ila 4g ya tigo ni kimeo eneo hili.si kweli nimetumia mitandao yote miwili na 4g ya tigo ina speed zaidi, una simu ya 4g? umetumia wapi hio 4g ya tigo?
3g kuwa slow inamaana watu wengi wanatumia 3g na uwezo wa miundombinu ni mdogo, mtandao unapoanzisha 4g inamaana watu baadhi wataondoka 3g kwenda 4g hivyo hii itawasaidia wote watumiaji wa 3g na 4g sababu wakipungua watu wa 3g speed itaongezeka ya wa 4g pia watapata speed nzuri
backup na screenshot itakua vizuriIssue itabak kuwa ni location yako tu..nipo kigamboni ila 4g ya tigo ni kimeo eneo hili.
yes mimi mwenyewe nimetafuta Line yao Speed haijaizidi Zantel sema Zantel ipo dar tuu ila speed zantelmimi ninayo line ya Halotel, Tuache Uongo na Uzushi, ukijiunga Na Kifurushi Cha Internet ya GB 18 kuanzia saa 6:00 usiku Mpaka saa 12:00 Alfajiri kwa Elf 1500 Spidi ni Kama Konokono. Hakuna Jipya Mitandao Tanzania bado sana. Tuache ushabiki.
Halotel hao?!1500 tu
Mtelemko kama upo unatiririka tu sio hadi upige pedo.....anapenda kitonga