Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

Na hiyo ni 3G tu je na wao wakileta 4G...
wakileta 4g sipati picha kabsa makampuni mengine watatupa mitambo waingie mitini maana itakuwa zaidi ya fedheha. .hapa tuu 3g fedheha tiari nyinyi halotel wabaya nyinyiii. .kizuri chaji za jmani alafu hawana hata maneno mengi kama tigo sjui airtel voda wanaongeaa usanii mtupu hakna lolote ..wenzao kimyakimya wanachukua soko
 
Kuna benefits zipi kwa hizo laini za chuo?
Kifurushi cha mia tano line ya mwanachuo unapewa mb500 kwa wiki
Wakati ya kawaida ni 200 kwa siku
1500 una pewa dk 150 halo to halo sms 1500 ma gb1 kwa wiki.
Na mengine mengi.
 
hivi hadi najiuliza huko wanapotekenya halotel spidi inakua kubwa wengne hawawez au ndo wameshikwa pabaya
Mkuu halotel wanatumia mkongo wa taifa hawa, voda nao wameshtuka wameanza kutandaza cable zao kuunganisha na minara
 
Kifurushi cha mia tano line ya mwanachuo unapewa 500 kwa wiki
Wakati ya kawaida ni 200 kwa siku
1500 una pewa dk 150 halo to halo sms 1500 ma gb1 kwa wiki.
Na mengine mengi.
I see!! Kama mtu unapata 1GB na dakika 150 kwa wiki na sio mtu wa ma-movies/series; then kwa staili hiyo maumivu ya gharama za mitandao ya simu unaweza usiyaone provided watu wako muhimu nao wapo Halotel. Yaani hapo kwa mwezi unaweza kutumia only TSh. 10K
 
Ngoja nisake line yao nione........notupe hii voda
 
I see!! Kama mtu unapata 1GB na dakika 150 kwa wiki na sio mtu wa ma-movies/series; then kwa staili hiyo maumivu ya gharama za mitandao ya simu unaweza usiyaone provided watu wako muhimu nao wapo Halotel. Yaani hapo kwa mwezi unaweza kutumia only TSh. 10K
kwa university bundle still Airtel wapo juu,
-kwanza unapewa dakika chache za mitandao yote, kama sjakosea ni tano
-pili hauhitaji line ya mwanafunzi, line yoyote inafaa just ununue tu vocha za mwanafunzi
-Gb zao wanazotoa ni nyingi kwa 600 unapata 1.2gb na lisaa 1 la kuongea na sms za kutosha pia whatsapp/fb/twitter ni bure

hivyo ukifanya mahesabu kwa mwezi kama unanunua kifurushi cha siku 2 cha 600 hizi ndio gharama

-600 kwa siku 2 kwa mwezi utanunua mara 15
600x15=9,000
hivyo gharama yako ya mwezi itakuwa 9,000

-gb 1.2x15=18
utapata gb 18 kwa mwezi

-dakika 55 airtel kwenda airtel 55x15 = 825
-dakika 5 mitandao yote 5x15 = 75

so kwa 9000 utapata gb 18 dk 825 (airtel-airtel) na dk 75 mitandao yote. hakuna mtandao Tanzania unaoipita hii offer
 
Back
Top Bottom