nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,270
- 7,768
Tigo mnaboa. Mm natumia tigo line ya 4G lakini muda mwingi no service. Hata hivi sasa hakuna mtandaoTigo tuna 4G sasa hivi wanaotumia devices zinazosupport hii 4G wanaelewa ninachomaanisha
Tigo mnaboa. Mm natumia tigo line ya 4G lakini muda mwingi no service. Hata hivi sasa hakuna mtandaoTigo tuna 4G sasa hivi wanaotumia devices zinazosupport hii 4G wanaelewa ninachomaanisha
hii 4G yenyewe inakata kata balaaa na si sehemu zote ipo yaani inshort tigo ni kama makanjanja japo na mimi ni mteja waoTigo tuna 4G sasa hivi wanaotumia devices zinazosupport hii 4G wanaelewa ninachomaanisha
Ila ipo mitandao inayoipita speed ya airtel na kwenye suala la net bila speed ya uhakika ni kazi bure,sisi sote tulishatumia hiyo mitandao ndo maana tunaona nafuu zaidi ipo wapi jookwa university bundle still Airtel wapo juu,
-kwanza unapewa dakika chache za mitandao yote, kama sjakosea ni tano
-pili hauhitaji line ya mwanafunzi, line yoyote inafaa just ununue tu vocha za mwanafunzi
-Gb zao wanazotoa ni nyingi kwa 600 unapata 1.2gb na lisaa 1 la kuongea na sms za kutosha pia whatsapp/fb/twitter ni bure
hivyo ukifanya mahesabu kwa mwezi kama unanunua kifurushi cha siku 2 cha 600 hizi ndio gharama
-600 kwa siku 2 kwa mwezi utanunua mara 15
600x15=9,000
hivyo gharama yako ya mwezi itakuwa 9,000
-gb 1.2x15=18
utapata gb 18 kwa mwezi
-dakika 55 airtel kwenda airtel 55x15 = 825
-dakika 5 mitandao yote 5x15 = 75
so kwa 9000 utapata gb 18 dk 825 (airtel-airtel) na dk 75 mitandao yote. hakuna mtandao Tanzania unaoipita hii offer
then kama speed ndio deciding factor basi wote tuhamie simbanet au smile au mitandao mengine ya 4g.Ila ipo mitandao inayoipita speed ya airtel na kwenye suala la net bila speed ya uhakika ni kazi bure,sisi sote tulishatumia hiyo mitandao ndo maana tunaona nafuu zaidi ipo wapi joo
Chief unajiungajeee na 3.6 GB???then kama speed ndio deciding factor basi wote tuhamie simbanet au smile au mitandao mengine ya 4g.
combination ya speed, unafuu wa bei, na ukubwa wa vifurushi ndio unatakiwa uangalie.
eneo nilipo airtel napata around 600KBps na halotel napata around 1MBps hivyo halotel ina speed zaidi na mitandao yote miwili nina acess ya vifurushi vya chuo.
kwa shilingi 1500 napata 1GB za net halotel
kwa 1800 airtel napata 3.6GB za airtel
so nambie wewe ungechagua ipi hapo?
mimi natumia halotel pale ninapokuwa nahitaji latency kama nikiangalia mpira au kustream matamasha ya simu ambayo ni live sababu latency yao ni nzuri. ila kudownload ni too expensive
na ukija vifurushi vya uziku kwa airtel ni 600 tu wakati halotel ni 1500. ukijiunga mara 2 halotel unajiunga mara 5 airtel na difference ya speed haijustify hio gharama.
kwa 600 unapata 1.2gb za internet so 1800 ndio unapata 3.6gbChief unajiungajeee na 3.6 GB???
Nini 4g hata mngekuwa 8g++ kwa halotel ni habari nyingine na mtandao wenu wa kariakoo hukoTigo tuna 4G sasa hivi wanaotumia devices zinazosupport hii 4G wanaelewa ninachomaanisha
Huu ni upuuzi huu...4G ya nini wakati kuna sehem hawashiki kabisa????Tigo tuna 4G sasa hivi wanaotumia devices zinazosupport hii 4G wanaelewa ninachomaanisha
Configurations zao ni zipi hawa Jamaa maana nikiweka line kwenye simu yangu haisomi upande wa Internet
Chief ukizungumzia airtel kwangu hatasiku moja sitokaa nikuelewe labda nihame nilipo maana hapa nilipo airtel inaandika H+ lkn hata kusogea 1kb haisogei.then kama speed ndio deciding factor basi wote tuhamie simbanet au smile au mitandao mengine ya 4g.
combination ya speed, unafuu wa bei, na ukubwa wa vifurushi ndio unatakiwa uangalie.
eneo nilipo airtel napata around 600KBps na halotel napata around 1MBps hivyo halotel ina speed zaidi na mitandao yote miwili nina acess ya vifurushi vya chuo.
kwa shilingi 1500 napata 1GB za net halotel
kwa 1800 airtel napata 3.6GB za airtel
so nambie wewe ungechagua ipi hapo?
mimi natumia halotel pale ninapokuwa nahitaji latency kama nikiangalia mpira au kustream matamasha ya simu ambayo ni live sababu latency yao ni nzuri. ila kudownload ni too expensive
na ukija vifurushi vya uziku kwa airtel ni 600 tu wakati halotel ni 1500. ukijiunga mara 2 halotel unajiunga mara 5 airtel na difference ya speed haijustify hio gharama.
3G imewashinda mnatushawishije kuja 4G? kwa whats app ya bure? ambayo unadownload picha mwaka?Tigo tuna 4G sasa hivi wanaotumia devices zinazosupport hii 4G wanaelewa ninachomaanisha
4G ya tigo ni 2G ya airtel my opinionHuu ni upuuzi huu...4G ya nini wakati kuna sehem hawashiki kabisa????
By the way 4G ya tigo ni sawa na 3g ya halotel.
mkuu kila mtandao kuna maeneo yake haupatikani, na Tanzania yetu kama hauna line zote huwezi kufaidi internet, kama eneo lako halotel wanakidhi mahitaji then tumia hio ila hapa naongelea experience yangu tu.Chief ukizungumzia airtel kwangu hatasiku moja sitokaa nikuelewe labda nihame nilipo maana hapa nilipo airtel inaandika H+ lkn hata kusogea 1kb haisogei.
Kwangu Halotel ni mkombozi kupata 3g eneo ambalo sikufikiria kama ingekuja hii huduma kwa mitandao kongwe.
hawa jamaa bora wabaki kwenye nokia za tochi maana huko ndo tunawafaidi sms na kuongea basiTigo hata wakiwa na 6G hakuna kitu
si kweli nimetumia mitandao yote miwili na 4g ya tigo ina speed zaidi, una simu ya 4g? umetumia wapi hio 4g ya tigo?Huu ni upuuzi huu...4G ya nini wakati kuna sehem hawashiki kabisa????
By the way 4G ya tigo ni sawa na 3g ya halotel.
hata nilipwe kutumia tigo, NEVER.si kweli nimetumia mitandao yote miwili na 4g ya tigo ina speed zaidi, una simu ya 4g? umetumia wapi hio 4g ya tigo?
3g kuwa slow inamaana watu wengi wanatumia 3g na uwezo wa miundombinu ni mdogo, mtandao unapoanzisha 4g inamaana watu baadhi wataondoka 3g kwenda 4g hivyo hii itawasaidia wote watumiaji wa 3g na 4g sababu wakipungua watu wa 3g speed itaongezeka ya wa 4g pia watapata speed nzuri
hata nilipwe kutumia tigo, NEVER.
nina note 4 na inasupport 3G nilipita pale mliman nikaambiwa mlolongo mrefu nikasema ngoja nijaribu line ya beste angu kwanza, ilikua ni ugoro mtupu nikaondoka.si kweli nimetumia mitandao yote miwili na 4g ya tigo ina speed zaidi, una simu ya 4g? umetumia wapi hio 4g ya tigo?
3g kuwa slow inamaana watu wengi wanatumia 3g na uwezo wa miundombinu ni mdogo, mtandao unapoanzisha 4g inamaana watu baadhi wataondoka 3g kwenda 4g hivyo hii itawasaidia wote watumiaji wa 3g na 4g sababu wakipungua watu wa 3g speed itaongezeka ya wa 4g pia watapata speed nzuri
ugoro ndio nini?nina note 4 na inasupport 3G nilipita pale mliman nikaambiwa mlolongo mrefu nikasema ngoja nijaribu line ya beste angu kwanza, ilikua ni ugoro mtupu nikaondoka.
Bora voda wezi wa MB ila inaeleweeka kidogo
Nipe bando zake na bei zake mkuuMi juzi nilishusha Gb 13 usiku nilimaliza movies zote
nauhakika umenielewa bossugoro ndio nini?