Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

Tatizo watanzania ukiwapa channel za local bure sahau kulipia kabisa. Kuna watu wana mwaka na zaidi hawajalipia startimes.
 
Hili suala nitalipeka tcra na kwa waziri kwa sababu kuna channels za bure kama itv, startv, clouds, chanel ten hata azam two vimekuwa vya kulipia tofauti na tamko la serikali la kuwa channel zinazorusha taarifa ya habari ziwe za bure. Hili si la hiari bali ni lazima....
 
Hapo mwanzo ilikua ukitaka channel za kulipia za kawaida ni 12000 na ukitaka za. Michezo ni 15000 jumla. 27000 lakini sasa hv kwa 15000 unapata zote za michezo na za kawaida, mkuu hata hili la kushusha gharama pia ni shida??
Vipi kuhusu channel za bure kama sina hela mwezi huo?
 
Si mlikuwa mnawasifia hapa kila kukicha ninyi?
 
Channel za ndani zapatikan bure bila hela yeyote, mimi sijalipia since mwezi wa 12 but bado napata huduma km. Kawaida
Muongo mkubwa wewe, kama umetumwa basi fanyia kazi mabwana zako upate ujira na watoto waende chooni
 
Muongo mkubwa wewe, kama umetumwa basi fanyia kazi mabwana zako upate ujira na watoto waende chooni
Mkuu shukran sana, Hujawekea bastola usoni utumie king'amuzi cha Azam, kitupe chooni sikiliza redio tuu utapata taarifa zote,
 
Hili suala la kukatwa kwa local channels kwenye king'amuzi cha Azamu limenishangaza kiasi.

Hapa wakulaumiwa ni TCRA kwasababu wao walitoa mwongozo, kwamba local channels zitaonekana free, sasa hili la suala la Azam Tv wanalitazama pasi kulitolea ufafanuzi KWANINI?
 
kwa upande wangu mi burudani kabisa naangalia vpl,mieleka,sinema zetu, laliga,mbc plus kwa 15000 Kwa mwezi.
 
tcra wamekaa kimya nimetuma barua za malalamiko kwny tovuti yao lakini,wamekaa kimya wanafiki
 
channel zinazolatikana Digitek ni ; ITV,EATV,CAPITALTV,TBC1,STARTV,CH10,LIVING WATER TV, EMANNUELTV, U.S.A AFRICA TV, CITIZEN TV, ARIANG, JAPAN TV, AL JAZEERA, SAUDIA2 NA AFRICA TV YA KIISLAM. ZOTE HIZO NI BURE WAKUU.
 
ambaye anafikiria kukiuza naomba anitafte tafadhali na mm nijaribu nione ahsante anipm
 
Hili suala la kukatwa kwa local channels kwenye king'amuzi cha Azamu limenishangaza kiasi.

Hapa wakulaumiwa ni TCRA kwasababu wao walitoa mwongozo, kwamba local channels zitaonekana free, sasa hili la suala la Azam Tv wanalitazama pasi kulitolea ufafanuzi KWANINI?

habari za chn chin zinasema vituo ving vya television vinafanya biashara ya kingamuz, hivyo kila station inakingamuz chake, hivyoo station ya njee ikitaka channel fulan ionekane kwenye kingamuz chske, lazma wawalipe!!!tcra ndo sehemu pekee ilitakiwa kutupa majibu sahihi. ITV wana digitek, startv continental, azam tv, wana azam, TBC wana alliance an startimes
 
watu kwa kujipa moyo hawajambo huku nilipo 4g ya tigo downloading speed inagonga 3mbps lakini halotel wanacheza 300 mpaka 500 kbps sasa hapo sidhani hata waweza fananisha na hata Dar pia ilikuwa hivyohivyo kwangu.
ndugu tigo wana sehemu na sehemu tunaujua huo mtandao na tumeutumian sana before ya kubadilika
 
ndugu tigo wana sehemu na sehemu tunaujua huo mtandao na tumeutumian sana before ya kubadilika
umetumia 4g ya tigo? hii ndio feedback tunayotaka sababu watu wengi hawajaitumia au unakuta vifaa vyao hata 4g havina lakini wanatoa feedback mbovu
 
umetumia 4g ya tigo? hii ndio feedback tunayotaka sababu watu wengi hawajaitumia au unakuta vifaa vyao hata 4g havina lakini wanatoa feedback mbovu
ndo maana ukaambiwa mtandao Wa kariakoo huo,4g yenyewe unayoizungumzia ipo sehemu Na sehemu mtu ambaye hayupo hiyo sehemu yako unamuambia habari ya 4g atakuelewa???au unataka wote tuje maeneo yako mkuu???
 
ndo maana ukaambiwa mtandao Wa kariakoo huo,4g yenyewe unayoizungumzia ipo sehemu Na sehemu mtu ambaye hayupo hiyo sehemu yako unamuambia habari ya 4g atakuelewa???au unataka wote tuje maeneo yako mkuu???
mi naishi Tanga wala sio mkazi wa dar na kwetu tuna 4g. na sababu kwenu hakuna 4g haimaanishi kwamba 4g ndio mbaya unapomshauri mtu inabidi ujue kwanza eneo alipo.
 
Back
Top Bottom