Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

Kwanza kumbuka nyaya zao wanafukia chini hawanaga sidhani kama Vida walishafanya io kitu
 
Tuseme on average speed ya tigo 4g ni 3MBps ikikaa hivyo bila tatizo lolote (siunawajua tigo wanavyozingua) yaweza chukua dakika 5..

Tusubirie voda, airtel au halotel walaunch 4g na uhakika itakuwa funika
Duh km nd hvy ngj nijitahid next month nichukue device ya 4g maana hpa nna malink ya mamovie mpk keroooo
 
watu kwa kujipa moyo hawajambo huku nilipo 4g ya tigo downloading speed inagonga 3mbps lakini halotel wanacheza 300 mpaka 500 kbps sasa hapo sidhani hata waweza fananisha na hata Dar pia ilikuwa hivyohivyo kwangu.
Tatizo la tigo ni sehemu chache utapata speed nzuri. Ila Halotel nchi nzima tunafurahia kwa speed nzuri iwe katikati ya Miji hata nje ya mji unapata speed nzuri
 
Tatizo humu kila mtu anaelezea experience yake na mtandao anaotumia bila kutaja aina ya simu inayotumika.

simu zina network bands tofauti, mfano aina mbili za simu ie nokia na sony zinaweza zikapata speed tofauti ya internet chini ya mnara mmoja japo line zafanana ie zote ziwe na 4g ya tigo.
kila moja kwenye speed test itasoma tofauti!

so ukiona line furani inafanya vizuri kwenye eneo lako na kwenye simu yako haitakuwa sawa na mwenye line nyingine kwa eneo lake na simu yake. pia ina tegemea na signal za hapo ulipo
 
Tz mtandao mmoja tu Halotel, wengine mbwembwe!
kujitangaza kwiiiinga wakati hamna ktu!
 
Tatizo humu kila mtu anaelezea experience yake na mtandao anaotumia bila kutaja aina ya simu inayotumika.

simu zina network bands tofauti, mfano aina mbili za simu ie nokia na sony zinaweza zikapata speed tofauti ya internet chini ya mnara mmoja japo line zafanana ie zote ziwe na 4g ya tigo.
kila moja kwenye speed test itasoma tofauti!

so ukiona line furani inafanya vizuri kwenye eneo lako na kwenye simu yako haitakuwa sawa na mwenye line nyingine kwa eneo lake na simu yake. pia ina tegemea na signal za hapo ulipo
Mkuu Sharo, hamna cha aina ya simu hapa Halotel mbona haichagui simu? , kazi ni moja tu kuweka MB! na kuanza kushusha data!
 
Naomba kujuzwa kuhusu vifurushi vya internet vya hawa halotel.

Nataka kufahamu the maximum amount ya data nnaweza kupata kwa
1. Siku
2. Wiki
3. Mwezi

Na bei ya vifurushi hivyo
 
Mkuu Sharo, hamna cha aina ya simu hapa Halotel mbona haichagui simu? , kazi ni moja tu kuweka MB! na kuanza kushusha data!
sababu halotel hana 4g. mitandao yote ukitoa smart kwenye 3g wanatumia band 2100 lakini kuanzia 4g kila mtandao na band yake so si kila simu inasuport 4g.
 
sababu halotel hana 4g. mitandao yote ukitoa smart kwenye 3g wanatumia band 2100 lakini kuanzia 4g kila mtandao na band yake so si kila simu inasuport 4g.
Kwan haiwezekan kwa 4g kutumia band moja km 3G?
 
Siri ya Halotel ni kusambaza nyaya za mtandao nchi nzma hawa wengine wanatumia minara na system zakizamani
 
Kwan haiwezekan kwa 4g kutumia band moja km 3G?

inawezekana lakini haitakuwa hivyo sababu kuna mambo mengi hapa,
1. kila mtandao unampa mtu wake tenda na hao wanaokuja kueka 4g hawafanani
2. frequency zikifanana ina maana na vifaa vitafanana ukinunua kifaa cha mtu mmoja uki unlock utatumia mitandao yote. frequency zikitofautiana hata uki unlock ni ngumu kutumia mtandao mwengine.
3. kuna baadhi ya frequency hazifiki mbali ila ni strong nyengine zinafika mbali ila hazina nguvu

sababu zipo nyingi sana uamuzi ni wao mpaka sasa kuna mitandao 4 ya 4g na frequency tatu tofauti, tegemea frequency nyengine zaidi wengine wakianza kutoa 4g zao
 
Kwa kweli sasa hiki kingamuzi sio siri, kimeanza kuwa mzigo kwa Watanzania wengi.Hivi sasa hiki kingamuzi kimeongeza sh 3000 kwa kila kifurushi kwahiyo bei ya kifurushi cha chini kwa sasa ni sh 15000.

Vilevile walikuwa wanatoa channel za ndani bureee,lakini kwa sasa channel zote zimetolewa na imebaki TBC1 tu. Sasa najiuliza kwanini haya mabadiliko yametokea kwa ghafla mno? Wengine wanasema eti mambo ya Magufuli yamesababisha haya mabadiliko, na TCRA nao wapo kimya licha ya mwanzoni kusema kwamba channel za ndani zitakuwa bure.

Sasa kingamuzi gani kitakuwa na unafuu kwa sasa, kwani sikioni.Wengine wanasema ni startimes,zuku nackia 18000. dstv wenyewe mnajua...

Na kwenye tangazo lao wanavyojinasibu eti azam kwa sasa we acha tu.Nami nasema kwa kweli kwa sasa azam TV ni cha kuacha tu, kwani hakuna namna.Wajuvi tujuzane...
 
Washaniboa sana hawa azam na king'amuz chao nimetupa kabatin sasa nina startimes full shangwe
 
Ni kweli wameongeza 3000 ila wamenifuraisha kwa kuwa kifurushi cha azam sports kilikua lazima uongeze 15000 lkn ss ivi iko included kwenye hiyo 3000 so kwangu mmn faida
 
Sio lazima kutazama tv,fungua redio inatosha,cc ngoja tupate burudani,ukisheherekea utumbuaji,huku nako sheherekea tuuu,mwaka wetuuuu
 
Back
Top Bottom