Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,063
- 43,492
lete screenshot ya speednimetumia 4G ya tigo haina speed kama Halotel
lete screenshot ya speednimetumia 4G ya tigo haina speed kama Halotel
Duh.. Naikubali halotel lakini kwa hili nabishanimetumia 4G ya tigo haina speed kama Halotel
nani anayetaka Huduma za kuchagua locations???ntastay hapa hapa maana nimeridhika mkuumi naishi Tanga wala sio mkazi wa dar na kwetu tuna 4g. na sababu kwenu hakuna 4g haimaanishi kwamba 4g ndio mbaya unapomshauri mtu inabidi ujue kwanza eneo alipo.
mbeya wameweka hzo cable toka mwezi Wa kwanza lakini hamna jipya la kulinganisha Na HalotelDuh.. Naikubali halotel lakini kwa hili nabisha
Na sasa hivi hapa Tabata naona Vodacom wamevuta Optic Fibre cable kwenda kwenye minara yao yote sasa nasubiria waweke mambo sawa tuone mkongwe atavyo wafunika wote hadi halotel
Kwa laini ya chuo *148*55# kwa laini ya kawaida *148*66#Naomba kujua jinsi ya kupata menu ya halotel bundles,pamoja na University bundle na jinsi ya kujiunga na kifurush cha usiku
Labda huko kwenu lakini hapa kwetu Vodacom utapata maximum 1.5MB/s download speed 1080p video unaagalia bila buffering yoyote so network ipo vizurimbeya wameweka hzo cable toka mwezi Wa kwanza lakini hamna jipya la kulinganisha Na Halotel
ndio kwetu ipo mkuu,nani anayetaka Huduma za kuchagua locations???ntastay hapa hapa maana nimeridhika mkuu
Chief-Mkwawa kwenu ni wapi nije kukutembelea???ndio kwetu ipo mkuu,
na hata kama 4g ingekuwa inapatikana km 10 toka kwetu ningekuwa radhi nipande daladala niifate siku za weekend. gap la speed ni kubwa sana almost mara 3 zaidi ya speed kubwa zaidi ya 3g.
Waja leo waondoka leo (Tanga)Chief-Mkwawa kwenu ni wapi nije kukutembelea???
nataman kupajua kwenu niwape na wazazi wako pongez za kuwa na mtoto
Waja leo waondoka leo (Tanga)
Uzuri wa Halotel ni nchi nzima mi ninapoishi network za kuvizia lakini baada ya kuja Halo fulu nacheki mpira ninavyotaka mda wowoteNikiwa DIT hapa dsm speed ya tigo 4G average speed ni 38mbps kwa hiyo hao halotel wanawapa shida watu wanaotumia 3G tuu ila kwa tigo 4G wanasubiri
Unajiunga kifurushi gani na kwa match mzma unatumia kama Mb ngapi?Uzuri wa Halotel ni nchi nzima mi ninapoishi network za kuvizia lakini baada ya kuja Halo fulu nacheki mpira ninavyotaka mda wowote
4G tayar ni advanced kwa 3g .Nikiwa DIT hapa dsm speed ya tigo 4G average speed ni 38mbps kwa hiyo hao halotel wanawapa shida watu wanaotumia 3G tuu ila kwa tigo 4G wanasubiri
mimi natumia vifurushi vya chuoUnajiunga kifurushi gani na kwa match mzma unatumia kama Mb ngapi?
inategemea na resolution mimi hutumia hadi 1gb kupanda kwa mechi nikiangalia kwa hd au full hd.mimi natumia vifurushi vya chuo
wastani mechi moja mb 200-300 haizidi hapo
mi natumia simu Natumia file la mobdroinategemea na resolution mimi hutumia hadi 1gb kupanda kwa mechi nikiangalia kwa hd au full hd.