Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

kwa kweli sasa hiki kingamuz co siri, kimeanza kuwa mzigo kwa watanzania we
ngi. hivi sasa kile kingamuz kimeongeza sh 3000 kwa kila kifurushi. hyo kingamuz cha chin kwa sass ni sh 15000. vile vile walikuwa wanatoa channel za ndani bureee, lakin kwa sasa channel zote zimetolewa na imebaki TBC tu. sasa najiuliza kwanin hsya mabadiliko yametokea kwa ghafla mno.? wengine wanasema eti mambo ya magufuli yamesababisha haya mabadiliko, na tcra nao wapo kimya licha ya mwanzon kusema kwamba channel za ndani ztakuwa bure. sasa kingamuz gani kitakuwa na unafuu kwa sasa, kwani sikioni. wengine wanasema ni startimes ....
zuku nackia 18000. dstv wenyewe mnajua...
na kwenye tangazo lao wanavyojinasibu eti azam kwa sasa we acha tu. nami nasema kwa kweli kwa sasa azam TV ni cha kuacha tu, kwani hakuna namna. wajuvi tujuzane...
Kwenye Dish lazima ulipie ila ukitaka vya bure kanunue mtambo wa skrach startimes.
 
kwa kweli sasa hiki kingamuz co siri, kimeanza kuwa mzigo kwa watanzania we
ngi. hivi sasa kile kingamuz kimeongeza sh 3000 kwa kila kifurushi. hyo kingamuz cha chin kwa sass ni sh 15000. vile vile walikuwa wanatoa channel za ndani bureee, lakin kwa sasa channel zote zimetolewa na imebaki TBC tu. sasa najiuliza kwanin hsya mabadiliko yametokea kwa ghafla mno.? wengine wanasema eti mambo ya magufuli yamesababisha haya mabadiliko, na tcra nao wapo kimya licha ya mwanzon kusema kwamba channel za ndani ztakuwa bure. sasa kingamuz gani kitakuwa na unafuu kwa sasa, kwani sikioni. wengine wanasema ni startimes ....
zuku nackia 18000. dstv wenyewe mnajua...
na kwenye tangazo lao wanavyojinasibu eti azam kwa sasa we acha tu. nami nasema kwa kweli kwa sasa azam TV ni cha kuacha tu, kwani hakuna namna. wajuvi tujuzane...
Sijalipia miezi mitatu sana lakini local channels napata bila wasiwasi ten siku nyengine wanatoa free channels za kulipia, sasa sijui kina tatizo gani huko kwako
 
Tutayaona mengi utawala huu zigo la mwenye maisha ya chini linazidi kuwa kubwa huku kila siku bidhaa zinapanda bei
HAPA KAZI TU.!

Wenyewe kazi wanakula bata tu..!

Haya bana hacha tuiosome namba.
"""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
 
kwa kweli sasa hiki kingamuz co siri, kimeanza kuwa mzigo kwa watanzania we
ngi. hivi sasa kile kingamuz kimeongeza sh 3000 kwa kila kifurushi. hyo kingamuz cha chin kwa sass ni sh 15000. vile vile walikuwa wanatoa channel za ndani bureee, lakin kwa sasa channel zote zimetolewa na imebaki TBC tu. sasa najiuliza kwanin hsya mabadiliko yametokea kwa ghafla mno.? wengine wanasema eti mambo ya magufuli yamesababisha haya mabadiliko, na tcra nao wapo kimya licha ya mwanzon kusema kwamba channel za ndani ztakuwa bure. sasa kingamuz gani kitakuwa na unafuu kwa sasa, kwani sikioni. wengine wanasema ni startimes ....
zuku nackia 18000. dstv wenyewe mnajua...
na kwenye tangazo lao wanavyojinasibu eti azam kwa sasa we acha tu. nami nasema kwa kweli kwa sasa azam TV ni cha kuacha tu, kwani hakuna namna. wajuvi tujuzane...
Hapo mwanzo ilikua ukitaka channel za kulipia za kawaida ni 12000 na ukitaka za. Michezo ni 15000 jumla. 27000 lakini sasa hv kwa 15000 unapata zote za michezo na za kawaida, mkuu hata hili la kushusha gharama pia ni shida??
 
Sijalipia miezi mitatu sana lakini local channels napata bila wasiwasi ten siku nyengine wanatoa free channels za kulipia, sasa sijui kina tatizo gani huko kwako
Zamu yako bado hata mimi ilikua hivyo lakini juzi wameng`oa zote wameacha lichaneli lao la Tbc
 
Digitek;
kwa sasa tunatumia Frequency ya 3644 MHZ Polarization RCP Symbol rate 8545 FEC 2/3. Ambapo utapata channnels za local, Bado hatujaweka package yetu yote kwenye satelite.
 
Nashangaa mipangilio yao ya chaneli hivi kifurushi kikiimsha mdawake ndo hata local stesheni zote zinafungiwa?yani huoni hata tbc?huku tunapopelekana sipo jamani
 
Mm mda wakulipia ukiisha tu hapohapo huoni hata chaneli moja hata zle TBC,ITV na star pia hazionekani huu siniukatili
 
azam tv sio ya Tanzania ni Tv ya nje....haiwezekani ikaisaliti nchi yake yenyewe kwa kuzifungia local channels, nilikuwa siamini mwanzo ila nilikwenda kwa rafiki yang nikakuta kweli locals zote zimefungwa.......
 
Kumridhisha mtanzania ni NGUMU sana,pole sana Bakhresa,licha ya kuboresha huduma hivi karibuni bado ni malalamiko tu.Nakushauri mzee jikite zaidi Rwanda,Uganda,Burundi,Kenya,Ghana na Cameron...naona huko unakubalika zaidi achana na waswahili.
 
Hivi kwani lazima kuangalia Tv. Kama ni habari simsikilize redio.
 
azam tv sio ya Tanzania ni Tv ya nje....haiwezekani ikaisaliti nchi yake yenyewe kwa kuzifungia local channels, nilikuwa siamini mwanzo ila nilikwenda kwa rafiki yang nikakuta kweli locals zote zimefungwa.......
Sikiliza redio mkuu
 
Kuja kwa Azam tv wengi nikiwemo mimi tuliamini ni ukombozi ktk tasinia ya Utangazaji nchini hasa kutokana na ukuritimba uliokuwepo wa Startime.

Kadiri muda na siku zinavyokwenda imedhihirika pasina shaka kuwa Azam tv siyo kimbilio la wanyonge bali ni Mkoloni mpya ktk kuzuia habari kuwafikia wananchi.

Kitendo cha kituo cha Azam tv kuondoa ktk king'amuzi chake channel za kitaifa zinazotakiwa kuonekana bure kumetuondolea imani hasa sisi wazawa wanyonge juu ya mustakabali wa tasinia ya utangazaji nchini ktk dhana ya upatikanaji wa habari.

Nakumbuka usemi wa wahenga waliosema USIACHE MBACHAO KWA MSAALA UPITAO ambapo mara baada ya Azam tv kuingia sokoni wengi tulipapalika kuachana na Startime lakini sasa tumekiona cha moto.

Natoa wito kwa watanzania wenzangu tujifunze kupitia kitendo hiki cha Azam tv kwa siku za usoni na TCRA boresheni kanuni zenu kudhibiti ukiritimba huu
 
Digitek;
kwa sasa tunatumia Frequency ya 3644 MHZ Polarization RCP Symbol rate 8545 FEC 2/3. Ambapo utapata channnels za local, Bado hatujaweka package yetu yote kwenye satelite.
Habari,digiteck king'amuzi cha kawaida naona chanell hazipo siku izi,ama kuna mabadiliko except tbc,ch10 tu ndo nazipata
 
Back
Top Bottom