hkeenshine
Member
- Jan 5, 2013
- 36
- 4
nxon is rght mr.
Kwa wale wa
naotumia devices ambazo zinatumia operating system ya Android iwe simu y
a mkononi au Tablet PC, tafadhali tembelea link ifutatayo Jamii Forums | The Home Of Great Thinkers ili kuweza kudownload JF Application for Android na kuinstall kwenye kifaa chako cha Android ambacho unakitumia kwa ajili ya kutembelea JF.
Pia msisahau kutoa maoni yenu kuhusiana na hii application huko kwenye Android market na sio JF kama mlivyozoea kufanya. Hii itasaidia kuweza kupata maoni yanayoeleweka ambayo pia yatasaidia kuborasha application hiyo.
Mkuu hivi siwezi ku download bila kuwa na google akaunta, maana nilishazoea simu ya syimbian hana masherti kwenye ku download.!
Kwa wale wanaotumia devices ambazo zinatumia operating system ya Android iwe simu ya mkononi au Tablet PC, tafadhali tembelea link ifutatayo Jamii Forums | The Home Of Great Thinkers ili kuweza kudownload JF Application for Android na kuinstall kwenye kifaa chako cha Android ambacho unakitumia kwa ajili ya kutembelea JF.
Pia msisahau kutoa maoni yenu kuhusiana na hii application huko kwenye Android market na sio JF kama mlivyozoea kufanya. Hii itasaidia kuweza kupata maoni yanayoeleweka ambayo pia yatasaidia kuborasha application hiyo.
mkuu hii program hipo tena?
Ipo. Is there any problem?
Mkuu Young Master...natumia android version 4.1. Kwen galaxy s3. Of recent nimeobserve hii app inahang/freeze mara kwa mara. Msg inasema "unfortunately JF has stopped". Sasa sijui tatizo ni nini? Inaboa upo katikati ya issue afu inakuwa ivo . Sijui kama kuna ambaye ana tatizo kama hili langu?
Young Master tafadhali tuchekie application yetu toka juzi haifunguki.
Young Master tafadhali tuchekie application yetu toka juzi haifunguki.
Mkuu Young Master, mimi nimeshindwa kujua namna ya kudelete post kupitia hii App.. nikiingia kwenye "edit" sipati option ya kudelete post kama ilivyo kwenye PC
Young master. .. naomba ulifikishe hili mapema maana mi ninafungua hii app ila kwenye hii operation system ya jelly beans inakuwa haina uwezo wa ku-like kitu.. ukijaribu tu inajifunga yenyew mpaka u restart tena