Download free JF application for Android

mimi nikiandika jamiiforums app inazingua, wanasena niandike upya, inakuwaje?
 
Hatukupata jibu lolote la utafutaji
wako - Jamiiforums .
Mapendekezo:
Hakikisha kuwa maneno yote
yana tahajia sahihi.
Jaribu maneno muhimu
tofauti.
Jaribu maneno muhimu ya
jumla zaidi.

INALETA HAYO MANENO
 
Hatukupata jibu lolote la utafutaji
wako - Jamiiforums .
Mapendekezo:
Hakikisha kuwa maneno yote
yana tahajia sahihi.
Jaribu maneno muhimu
tofauti.
Jaribu maneno muhimu ya
jumla zaidi.

INALETA HAYO MANENO

Sijakuelewa mkuu. Hayo maelezo yako yanamaanisha nini?
 
Kwa wale wanaotumia devices ambazo zinatumia operating system ya Android iwe simu ya mkononi au Tablet PC, tafadhali tembelea link ifutatayo Jamii Forums | The Home Of Great Thinkers ili kuweza kudownload JF Application for Android na kuinstall kwenye kifaa chako cha Android ambacho unakitumia kwa ajili ya kutembelea JF.

Pia msisahau kutoa maoni yenu kuhusiana na hii application huko kwenye Android market na sio JF kama mlivyozoea kufanya. Hii itasaidia kuweza kupata maoni yanayoeleweka ambayo pia yatasaidia kuborasha application hiyo.

Mkuu naomba msaada kidogo maana nikijaribu napokea error message inayosema "Error retrieving information from server. [RPC:S-5: AEC-0]"
 
Mkuu Young Master mmeshaupdate hiyo JF app iwe compatible na Android Jelly Bean? Mi bado inacrash inavotaka tu:disapointed:
 
Last edited by a moderator:
Wakuu trplmike, Kingdom, LORDVILLE, Kaizer na wengine wote ambao wanapata tatizo hili na mengine kama haya kwenye Apps za JF, uongozi wa JF unatambua tatizo mnalolipata katika kutumia Apps za JF na tatizo hilo linashughulikiwa. Tunaomba uvumilivu wenu wakati delevopers wanaendelea kushughulikia tatizo hili. Uongozi wa JF unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza na utakaojitokeza.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu trplmike, Kingdom, LORDVILLE, Kaizer na wengine wote ambao wanapata tatizo hili na mengine kama haya kwenye Apps za JF, uongozi wa JF unatambua tatizo mnalolipata katika kutumia Apps za JF na tatizo hilo linashughulikiwa. Tunaomba uvumilivu wenu wakati delevopers wanaendelea kushughulikia tatizo hili. Uongozi wa JF unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza na utakaojitokeza.

Kwanini wasiombe wao wenyewe unaomba radhi wewe mtumiaji kama mimi,je wamekuja na tamko rasmi la kwamba wanatatua tatizo hili?
 
Last edited by a moderator:
Wakuu trplmike, Kingdom, LORDVILLE, Kaizer na wengine wote ambao wanapata tatizo hili na mengine kama haya kwenye Apps za JF, uongozi wa JF unatambua tatizo mnalolipata katika kutumia Apps za JF na tatizo hilo linashughulikiwa. Tunaomba uvumilivu wenu wakati delevopers wanaendelea kushughulikia tatizo hili. Uongozi wa JF unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza na utakaojitokeza.
poa poa mkuu umesomeka.....ila mfanye mapema maana sometimes inaboa sana hii hali...
 
Back
Top Bottom