Bintimpendamaendeleo
Member
- Jun 12, 2012
- 8
- 1
Jaman wat abt sis tunaotumia blackberry or smart phne tufanyeje, plz nisaidien coz mm mgeni hapa
ni vigu watu wote kutumia bidhaa ya aina moja maana kila mtu na chaguo lakeNiliwaambia hamia kwenye open source platform i mean welcome kwenye android maana now days kila product mpya za simu nzuri jamaa wanaanzaga na android os ...... [like]
Msaada: Nitapaje pc suite ya android? natumia Huawei Ascend Y100 (U8185), Thanks
Mkuu Young Master nimejalibu mara kibao kuinstall kwenye sim yangu inakubali inadownload mpaka mwisho lakini ikifika 100% inasema unsuccessful installation pls help nahisi itakuwa ni matatizo ya sim yangu
Inawezekana phone memory yako ni ndogo! ebu angalia phone memory yako iliyo baki na ufanye camparison na ukubwa wa application yenyewe!
Nokia c3?
na hii E72 yangu itakubali? najaribu hapa inakataa