zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
![]()
Kama hujui kusoma shauri yako.........................
So what? RA is a highly successful businessman, a great politician, we have seen no opposition at his constituency. Au hayo huyapendi?
![]()
Kama hujui kusoma shauri yako.........................
Dawa ni KUMKAMATA RA na kumshtaki kama MHUJUMU WA UCHUMI.
Unampa Songombingo hadi aseme wenzie ni nani.
Mambo yakiharibika, utasikia amekimbia sasa hivi au watam-Kolimba.
Jamaa ajihurumie nafsi yake na akiweza basi akimbie sasa hivi, vinginevyo, TISS wako nyuma yake.
Awamu ya kwanza ulijibana mwenyewe unawasingizia watu you think I will sympathize with you. Am not a loser sorry
So what? RA is a highly successful businessman, a great politician, we have seen no opposition at his constituency. Au hayo huyapendi?
Mkuu Dar-es-Salaam, heshima mbele.
Sasa mimi nina swali kwako maana inaelekea unafahamu kwa kiasi kikubwa juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea.
Je ni kwanini Dowans Holdings walikuwa wakitumia (kinyume na makubaliano ya mkataba wake na Tanesco) jina la Richmond Development Company?
you are a moron...., stimulate your medulla oblongata .... you have been seduced by RA
unajua RA ameshinda kwa asilimia ngapi uchaguzi uliopita kulinganisha na ule wa 2005?
Sikiliza, sasa hakuna cha kununuwa hiyo mitambo, hilo ni suala lilikuwa kabla hukumu haijatolewa. Ni mapendekezo ya walioona kuwa hili la kulipa gharama kibao litakuwepo ikiwa kesi itaendelezwa. Yalitukuta kwa kuvunja mkataba na IPTL hatujasoma.
Watu wanashindwa kuelewa kuwa hakuna mfanya biashara asiye taka faida, na katika hili la Dowans, mitambo ilishafikishwa pale Ubungo na ikawa-commissioned na miwili kati ya hiyo ni brand new. Leo uwaambie wafanya biashara hatuitaki, halafu wao wakae kimya, wanakutizama wanangoja wafilisike? Hakuna mahakama duniani itayoipa ushindi Tanesco kwenye kesi hii, iende itavyokwenda. Ingekuwa mitambo haijaletwa, au imletwa chini ya kiwango, au mibovu, au mitambo hewa, hapo ndio tungeweza kushinda.
Hawa mahakimu wanaotizama hizi kesi ni watu makini na wanapitia mikataba na wana-tazama real situation na wanajuwa biashara za kima-Taifa zinaendeshwaje.
Hata ukiwalaumu wana-sheria wa Tanesco, bure tu. Walijkuwa hawana cha kufanya kwa hili, na walijuwa kuwa hii kesi hatushindi, lakini na wao wamepelekewa kazi waikatae? Wangeikataa ndio hayo hayo malipo lazima, sasa wafanye nini, wajaribu bahati yao, na ndicho walichofanya. Sasa sisi tubaki na porojo tuu humu.
Mimi nasema, fungilia mbali Tanesco na waache wafanya biashara waendeshe, tena si kwa kuingia ubia au kuwapa waendeshe lakini mali yetu, hapana. Ya ama wainunuwe iwe mali yao 100% au hisa zingine wauziwe wa Tanzania, kama yalivyofanywa mashirika mengine yaliyokuwa yanatia hasara kila siku, mbona leo yanaingiza faida? simply ni kuwa, hata umuweke nani kuendesha haya mashirika ya uma hataweza! wacha wenye vipaji vyao wafunguwe mashirika. Serikali ibaki kuweka kanuni tu, kama tunavyoona kwenye mambo ya mawasiliano, lilipokuwa shirika la uma moja tu, bei za mawasiliano zilikuwa juuu sana, hamna ufanisi, una book simu leo ya kwenda nje unaweza uipate baada ya wiki. Baada ya kuruhusu mashirika binafsi ya mawasiliano si tunaona matokeo,leo mawasiliano ni rahisi kuliko miaka 30 nyuma, huoni ajabu hapo, halafu hilo shirika moja tu, likawa halina faida.
Leo hii ikiamuliwa yaje mashirika mengine ya kugawa na kufuwa umeme, utaona bei za hii nishati zitavyo poromoka na hautosikia sijui nani kaiba mitambo sijui nani kaiba transformer, sijui nani kaiba mafuta ya transformer.
Leo nilikuwa na msikiliza Mhando wa Tanesco, nikamshangaa sana, anasema wanaweka Tranformer mara tano sehemu moja na kila wakiweka inaibiwa mafuta. Yaani huu kama si upumbavu ni nini, umeshaweka mara ya kwanza, umeibiwa, ya pili umeibiwa, hujatafuta solution tu? wewe unaendelea kuweka Transformer nyingine mpaka mara tano. Halafu unakuja kujisifu kwenye TV? what a shame. Halafu ndio kampuni itaendelea kwa kuendeshwa na watu kama huyu?
Ukitaka kujua kina cha ufisadi nchi ni pale unaposoma Enclosures one and two .........ambazo kwa makusudi mazima zinatamka ya kuwa uamuzi wa Msuluhishi ni wa mwisho........hivi vifungu vinakinzana na katiba yetu kabisa.........................haiwezekani masilahi ya taifa yakamalizwa na msuluhishi na Tanesco inapokubali hivyo ni dhahiri mlungula mkubwa ulilambishwa kwao........................This is criminal negligence............................Hawa watu wote ni wa kuwasekwa mahakamani tu......................
Either you are outright dumb or plain stupid. Umeng'ang'ana kutoa link hiyo ambayo haionyeshi majina ya wamiliki.
Arbitration ni option ambayo hailazimishiwi.The faCT THAT walikubali kwenda kwenye arbitration ( which may have been stipulated in the contract to sort out misunderstandings) ina maana walikuabaliana na hivi vifungu unavyosema vinakinzana na Katiba. Mikataba mingi ina vifungu vya arbitration na assumption is that wanajua kuwa kuna huo ukinzani ( conflict).
Tusisahau pia kuwa mikataba inataja kabisa the law applicable and in this case sijui walikubaliana sheria ipi itumike.Matatizo yanaanzia kwenye deal negotiation hadi kusaini mikataba.
Kama ni ufisadi unachangiwa ama na uzembe katika negotiations au "makusudi mazima" yenye kulenga katika kufumbia macho mambo yapite na hatimaye kuleta hasara kwa taifa.
Ingekuwa vizuri sana kama wenye kuhusika na mikataba mibovu wangeadabishwa kwa namna ya kuwafanya wasikie uchungu badala ya jinsi mambo yanavyoenda ambapo mtu anaendelea kufurahia maisha huku wananchi wakiumia.
Asante sana WoS, ndio maana mimi siamini kuwa hili ni matokeo ya bahati mbaya, kutokujua au kutokuwa na uwezo. Hakuna kitu chochote ambacho kilikuwa hakijulikani toka mwanzo. Nothing is new, ndio maana nimesema walipeni tu twende kwenye mkataba wa Airbus 320 tuwalipe.
Arbitration ni option ambayo hailazimishiwi.The faCT THAT walikubali kwenda kwenye arbitration ( which may have been stipulated in the contract to sort out misunderstandings) ina maana walikuabaliana na hivi vifungu unavyosema vinakinzana na Katiba. Mikataba mingi ina vifungu vya arbitration na assumption is that wanajua kuwa kuna huo ukinzani ( conflict).
Tusisahau pia kuwa mikataba inataja kabisa the law applicable and in this case sijui walikubaliana sheria ipi itumike.Matatizo yanaanzia kwenye deal negotiation hadi kusaini mikataba.
Kama ni ufisadi unachangiwa ama na uzembe katika negotiations au "makusudi mazima" yenye kulenga katika kufumbia macho mambo yapite na hatimaye kuleta hasara kwa taifa.
Ingekuwa vizuri sana kama wenye kuhusika na mikataba mibovu wangeadabishwa kwa namna ya kuwafanya wasikie uchungu badala ya jinsi mambo yanavyoenda ambapo mtu anaendelea kufurahia maisha huku wananchi wakiumia.
Hivi babu wewe mpaka leo unasubiri kitu chenye fedha na muhimu hivi kifanyike kwa bahati mbaya? duh ndio maana nasema you are good in theories reality iko mbali sana...at least umeonyesha unahitaji "problem solving" course
In politics and business hakuna bahati mbaya kwa kila kitu especially nowdays ok?
Asante sana WoS, ndio maana mimi siamini kuwa hili ni matokeo ya bahati mbaya, kutokujua au kutokuwa na uwezo. Hakuna kitu chochote ambacho kilikuwa hakijulikani toka mwanzo. Nothing is new, ndio maana nimesema walipeni tu twende kwenye mkataba wa Airbus 320 tuwalipe.
Taratibu ewe DSM! Unamshangaa anaweka transformer mara 5 inaibiwa ? Tunaongelea Dowans hapa, usipindishe mada...
Hizo transformers siku hizi wanaweka dry transformers, na ikiibiwa mafuta usiporeplace ujue zaidi ya watu 200 wako gizani
Kuhusu kuleta kampuni za kuuza umeme ili bei ishuke..fanya homework wewe! Artumas wana gridi na wanafanya distribution lindi na mtwara unajua nani anatoa subsidy kujazilizia bei wanayolipa wananchi?? Yes! U got it right government!! So bei sio friendly
Acha unazi wa kushambulia vitu, watu wanakuja hapa kuinvest na kumake profit, ukisoma EWURA's display on TANESCO wameonyesha where biggest revenues goes to, yep u guessed right ! To generation to IPP's...hiyo ndio khabari...
Lastly...show me with evidence ANY country in the world that doesn't have shares in transmission lines..
Hasta la vista
Mhandisi wa umeme Nsiande.