Kibaya alichokifanya MWAKYEMBE ni kipi? Huo MSIMAMO wenu ndio tusiotaka kusikia kabisa. Sasa ZITO sio swala la msimamo, ni SWALA la KITU KIDOGO TU, hakuna cha msimamo wala nini, kala/kaahidiwa hela ya ukuwadi, basi ndio anayoendelea nayo. Mwisho wake ndio huo. Alipewa ushauri toka mapema, rudisha hela ya mafisadi bado tunakutaka, yeye akaja na matusi hapa. Anyway si hapa nasikia kala fungu la kutosha. >10%
hivi kwanini watendaji wasiaminiwe? mpaka Bunge ndio liamue? to me bunge is just a bunch of political ****** who wants to be re-elected. Can you guys imagine when other countries have long done away with power rations, and these countries are a way poor than us?Maswala ya utendaji tunaleta siasa, sasa spika amekuwa na uwezo kuliko rais? JK you are too soft.
Zitto Kabwe awanasa CCM katika nyavu zao
:: Atumia ndoano ya PPRA kuwachota wenye msigano CCM
:: Ahoji upya wa mashine za IPTL, uzee wa mashine za Dowans
:: Maslahi ya makundi yazidi kujidhihirisha, kila mtu na lake
Na Innocent Munyuku
...
Source: RAI
And Zitto, the staunch supporter of Dowans? Well let's wait and see him join Kaburu, his homeboy. Keep your eyes open, it will happen men/women!!!!!
Mama,
Nimeitoa hii kule Tanesco nadhani inaweza kusaidia pamoja na kwamba mahitaji yetu yanaweza kabisa kuwa mara mbili ya kiwango kilichoelezewa..
======hivi kwanini watendaji wasiaminiwe? mpaka Bunge ndio liamue? to me bunge is just a bunch of political ****** who wants to be re-elected. Can you guys imagine when other countries have long done away with power rations, and these countries are a way poor than us?Maswala ya utendaji tunaleta siasa, sasa spika amekuwa na uwezo kuliko rais? JK you are too soft.
Asante kaka.
Hizo Takwimu are as for 31.12.2006.Though they have mentioned that their challenge is to provide electric power to 89 % of the population (11% electrified).
Ningependa kujua power demand ya nchi yetu, au current power deficit.
Hii ni muhimu in relation na kununua mtambo wa kuzalisha umeme (je mtambo huo utakuwa kwa ajili ya emergency tu au utacontibute kwa daily power supply na utacontribute kiasi gani).
Mama, navyofahamu mimi vyanzo vya umeme tokqa mwaka 2006 havijaongezeka wala kubadilika na kama umesoma vizuri utaona kwamba karibia asilimia 80 ya vyanzo hivi vilikuwepo toka mwalimu..
Sasa tukianza kurudi ktk swala la mahitaji yetu nadhani tutakuwa tunajidanganya zaidi ya guess work kama vile hesabu ya wananchi, wakazi wa nchi nzima..nina hakika hata idadi ya nyumba Tanzania haipo acha mbali hesabu ya viwanda na maendeleo kwa miaka 10 au 20 ijayo.. Maisha yetu tunakwenda kwa siku kama mlo wa mlalahoi..
Kifupi tu ni kwamba tunahitaji mara mbili ya jumla zote za nguvu za umeme uliopo sasa hivi kwa sababu asilimia kubwa ya nchi/wananchi hawana umeme..
Kinachoniudhi mimi ni pale hawa wanasiasa wanapojaribu kutumia mitambo hii ya Dowans kuwa sababu kubwa ya ukosekanaji umeme na kutumia neno KIZA kama vile nchi nzima inategemea Dowans tena wakitumia mikoa kama Mwanza ambayo taarifa yao wenyewe inawashutumu..
acha uvivu! piga simu Tanesco au muulize waziri wa Nishati.. au tafuta hotuba za bajeti ya Madini na Nishati za miaka unayoiulizia..
Yaani unataka ulimiwe, uvuniwe, upikiwe mpaka utafuniwe wewe ubakie kumeza tu na kushiba halafu useme "chakula gani hiki hata siyo kitamu"!
Fanya homework uje utuhabarishe uchunguzi wako na wengine tufaidike na kujituma kwako. Hili dogo namna hii linakushinda?
Hivi mbona unakiherehere namna hii, ombi langu halikuwa kwa mwanajF yeyote, nimelielekeza kwa mtu specific. Alijua na akaelewa na akanijibu apropriately. Sasa wewe kinachokuwasha nini!?
Inahusu nini? acha kimbelembele, kisebusebu na kiroho papo!
Homework yangu ni kwenda sokoni, kupika, kuogesha watoto na kusafisha nyumba. Nimeifanya hiyo homework, hivyo nakuhabarisha, faidika na habari toka kwa homework yangu.