Dowans: Another Richmond in making?


Yeah...viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe....
 
Zitto I still plead with you...

By the way hivi Kikwete what's wrong with him?
 
]



TUZINGATIE: Rostam anamiliki 35% ya Vodacom, Dk. Rashid alikuwa Mkurugenzi wa Vodacom, Ngeleja alikuwa mtumishi wa Vodacom.
[/QUOTE]
 

Naomba kuuliza?

Hivi hii issue ya kununua au kutonunua kwa hiyo mitambo inaunganishwa na issue ya upungufu wa umeme... au tunajadili tukiwa tuna yetu vichwani vyetu...

Nchi hii bwana...
 
At at the end of the day, ni nafuu kuwa na upayukaji wa Sitta, kuliko ububu wa JK.
The guy is extremely politically suicidal, but most of his risky moves end up paying off.
 

....kwa hiyo JK naye anataka mitambo ya DOWANS inunuliwe!!!!.....im confused.....!!
 

Zitto, Unakuwa kama Masha? Kumuandikia Barua Rais na Waziri Mkuu barua ya maoni?
 


tunaweza kukaa pembeni kunung'unika au kuamka na kuhamasika; tunaweza kuwa wachambuzi wa mambo wasiotaka kuchukua msimamo au tukachukua msimamo kuonesha uchambuzi wetu wa mambo. Tuna uchaguzi wa kukubali kluwa serikali ifanye ipendalo na sisi tubakie kulialia pembeni au kusimama na kunyosha mikono yetu kama maaskari wa usalama barabarani na kuiambia serikali "stop"!

Soma kijarida cha Cheche ili upate sababu za nyongeza kwanini ni suala la uzalendo, utaifa, utawala bora, na utawala wa sheria kuizuia Dowans kupata hata senti moja ya Watanzania.

Hadi hivi sasa hakuna mnunuzi mwingine yeyote ambaye yuko tayari kununua mitambo hiyo tangu tenda hiyo waitangaze karibu miezi minne iliyopita. Mnunuzi pekee ni Serikali. Serikali isiponunua Dowans watapata hasara kubwa kwani "kitawadodea".

Asante kwa wale wote ambao wamefanya kazi yao leo na matunda tumeanza kuyaona. Wale wengine ambao hawajatambua bado ni kwanini we have to stop this menace to our energy sector please read and distribute.

It is time to move from Criticism to Activism!!


Dowans must be stopped.
 

Attachments

Last edited by a moderator:
Zito amekurupuka kwa hili suala la mitambo ya dowans, na sheria ya manunuzi haibadilishwi siku moja. kwa nini hawa jamaa wanaing'ang'ania sana hiyo mitambo. hata kama inafanya kazi, mwuuzaji ndiye huyo tumeshitakiana naye, na kwa kuwa ni second hand hatuihitaji kabisa. nafuu tununue mipya hata kama garama itakuwa kubwa. wasitudanganye na swala la kuingia gizani wamezoea kuongopa hao. Na suala la umeme kwetu litaendelea kuwa tatizo tu hata ikinunuliwa hiyo mitambo kwa sababu tunatumia hydropower na mvua zenyewe hazitabiliki. kazi kwelikweli.
 

Hivi kununua mitambo ya DOWANS ni uwekezaji mkubwa ?
 
Kwa Mh Zitto
Ninatumaini ungewashauri serikali pia kuacha kununua magari D.T. Dobie, Toyota Tanzania na badala yake kwenda kununua Autorec, Car Junction etc kwa ajili ya Value for money. Serikali ingekuwa imepata savings kubwa tu.

..........kwi kwi kwi kwi........wee Heri acha uchokozi bana......kwi kwi kwi
 
Hawa wamesha tugeuza sisi mandondocha siyo!! mimi natamani hao siku Fisadi mmoja apigwe mawe kama zamani enzi zile za .......
 
....kwa hiyo JK naye anataka mitambo ya DOWANS inunuliwe!!!!.....im confused.....!!

Ogah;

You are not aloneooooo; i am more than confused... Dhana halisi ya maendeleo inatanguliwa na misingi halisi ya discipline na si vinginevyo; sina hakika kwamba tusiponunua mitambo ya dowans hakutakuwa na vendors wengine mpaka kiama...

Hapo ndio wakenya walipotuacha... Tunapenda sana dawa za watoto kwasababu zina sukari, its a high time we swallow bitter pills to cure our inherent disease of "kama kawaida"

Nina imani sheria na taratibu za procurement si kikwazo cha uwekezaji mkubwa
 

....wafanyabiashara watakao nunua mitambo hiyo washauriwe wapeleke Somalia......
 
Kama Rais atajiingiza kwenye ununuzi wa Dawans basi sikio la kufa halisikii dawa na si muda mrefu tutafikia ya Ginea Bissau kwani Watanzania hawakotayari kuburuzwa kwa sasa na vilevile Watanzania si mabwege kama alivyosema Mwakiyembe.Na yale aliyoyasema Mwakiyembe kuwa waliyaacha kwenye ripoti yao ili kuinusuru serikali naona yatakuwa yanaitafuna kwani inaelekea kulekule.Bora wakati ule wangefichuliwa wote na Serikali yote ingevunjika na tungekwishafanya uchaguzi upya.Ila jamani tamaa ya fedha na madaraka ni mbaya sana.Wenye nia njema na TZ muendelee kuitetea.
 
Sitta ulikuwa wapi siku zote, siku hizi unajifanya unaonge sana au kwa sabababu mtandao umekutenga ????????????
 
(e) Kwamba dhana ya tenda na Sheria ya Manunuzi isiruhusiwe kuwa kikwazo katika miradi mikubwa mikubwa ya miundombinu ya nishati, hasa ile ambako wawekezaji wanajitokeza wenyewe kuwekeza katika maeneo ambako taifa linahitaji uwekezaji mkubwa na wa haraka na ambako nchi inaonekana ilichelewa kuwekeza.
=======

Hii ina tofauti gani na:

-PM Pinda kuruhusu wanaoua Albino wauawe papo hapo bila kusubiri hatua za utawala wa sheria?

-Rais kuitisha kura za maoni ya kukamata wauaji wa Albino mwezi huu?

Ndugu zangu, tuna serikali isiyojali sheria. Rais mzima naitisha kikao Ikulu kusema, sheria zisiwe kikwazo katika kuunga mkono ufisadi.
 
mwkjjj.

zumari limelia nasi tupo kulichezaaaaa.. mambo ya dowans natumai yatatupa picha nyingine ya uwezo wa serikali hiii katika kutendaaa maamuzi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…