Wana JF, Nafikiri hawa Tanesco hawana cha kupoteza, wako katika nafasi nzuri ya kutumia sheria za Tanzania kuitaifisha mitambo ya Dowans kama walidhulumiwa kwa namna moja au nyingine kutokana na utafiti uliofanywa na tumwe ya Bunge ya Dr Mwakyembe.
Kwa kawaida kampuni zinapo-sign mikataba ya kimataifa huwa zime sign pia choice of forum, in case of disputes resolutions kwa maana ya kwamba kama gogoro litatokea, basi parties to the contract either watatumia sheria ya Nchi Fulani mfano Tanzania, au watatumia arbitration procedures mfano ICC Paris au ICC London. Hawawezi tu kuamka na kusema hey tunafungua case ICC Paris kama hawakuichagua tangu Mwanzo. Na kama itakuwa hivyo yafuatayo itabidi yazingatiwe.
ICC Paris inasema kwamba it is a standard arbitration clause that any dispute arising out of or under this contract shall be settled by arbitration in accordance with the rules of the CHAMBRE ARBITRALE DE PARIS (61, Bourse de Commerce, 2, rue de Viarmes, 75040 PARIS cedex 01, Tel:+ 33 (0)1 42 36 99 65, Fax : + 33 (0)1 42 36 08 54), of which both the Parties hereto declare to be cognisant and which they hereby accept .
Kutokana na hapo Juu ni wazi kwamba Tanesco hawana cha kujibu hapa kama hawaikubali au hawaikukubali tangu mwanzo hiyo ICC Paris , na kama wasipoikubali au kutoitambua basi ina maana kwamba hiyo kesi ya Dowan Hakuna , case ni Void ab nitio.
Kama TANESCO wanaikubali ICC Paris, ndani ya article 7 ya ICC Paris, wanachotakiwa ni either kujiwakilisha wenyewe na kutoa facts za case kama ambavyo Bunge la Tanzania chini ya Mwakembe lilivyogundua madudu ya Dowans au kumteua mwanasheria toka popote pale duniani na kuwawakilisha , na hili likisha fanyika basi hawa waliochaguliwa inabidi pia chini ya Arbitration Chamber of Paris organise arbitration in conformity with its legal status and follow regulations that define the different applicable rules during arbitration proceding.
Kama Tanesco ikishindwa kujiwakilisha au kumchagua mtu wa kuiwakilisha na pia Tanesco ikiwa imekubali jurisdiction ya ICC Paris basi, should they parties fail to appoint an arbitrator, the ICC Paris shall make an appointment on their behalf.
Tanesco inabidi tu wasiitambue ICC Paris unless kama disputes kama hiyo ilisha wahi kupelekwa na Tanesco wenyewe na kuamliwa na hao wa paris , Tanesco itakuwa kwa njia mja u nyingine imekubali jurisdiction yab Icc Paris.
Kwa hayo machache napenda tu kusema kwamba Tanesco hawana cha kupoteza, ni hawo tu Dowans wanaotaka kuiendesha Tenesco kicha kichwa toka bongo mpaka France wakati sheria wanazijua kwamba kama walichagua bongo inabidi wa-stick na bongo, pia kwamba penye ukweli uongo hujitenga, yale aliyosemwa Dr Mwakyembe kama yalikuwa ya uongo yatajulikana huko huko hivyo Tanesco kaeni mkao wa kushinda case kwa maoni yangu na hakuna haja ya kuondoa injuction hiyo maana hata huko Paris itawabidi kila parties waweke bond kama arbitral award kwa mshindi na atakayeshindwa basi ICC Paris would not intertain the case .
Serikali pia yaweza kutaifisha mali za Dowans au Richmond chini ya nationalising process na hatuna obligations yeyote kuilipa kampuni yeyote inayokuja Tanzania kufanya madudu, na nafikiri hii itakuwa precedent nzuri itakayo-send good message kwa wawekezaji wote uchwara ili waache ufisadi la sivyo mali zao zitataifishwa. Inabidi tufuate mfano wa Hugo Chavez wa Venezuela ambaye hana machezo na wawekezaji ushwara!!! Tutakuwa kichwa cha mwendawazimu hadi lini, kila siku ni kunyoa nywele tu na kwenda kupokea ma-Phd for conflict resolutions wakati wenyewe tumeshindwa ku-resolve conflict kati na ndani ya nchi yetu kwa kutumia sheria zetu mpaka twende Paris?
Kwa maelezo zaidi kuhusiana na ICC Paris soma hapa chini.
Chambre Arbitrale de Paris