Aina zake sizijui lakini walinunua turbines tatu, moja ya MW 35 ndiyo ilikuwa mpya na ndio ambayo Rostam alikuwa ameshapiga deal na Ngeleja ili atubambikie tena kwa Bilioni 70.
Ngeleja ashukuru Shelukindo alipreempt na kufanya JK aseme acheni upumbavu la sivyo kazi alikuwa hana na labda tungemwona Kisutu siku si nyingi.
Halafu Ngeleja asivyokuwa na aibu anajifanya shujaa eti Tanesco hawaruhusiwi kununua wakati ni Sunday tu alisema serikali inanunua na kina Shelukindo walikuwa wanapewa taarifa tu.
Kwa nini Stieglers gorge isitumike kuzalisha cheap huropower, then tujenge grid ambayo nasi tutasupply umeme nchi za jirani? Stiglers gorge ina potential ya kuzalisha up to 1000MW.....far more the national power supply needed.
Kwa nini Stieglers gorge isitumike kuzalisha cheap huropower, then tujenge grid ambayo nasi tutasupply umeme nchi za jirani? Stiglers gorge ina potential ya kuzalisha up to 1000MW.....far more the national power supply needed.
Pili, nataka niipongeze sana Serikali katika uamuzi wake wa kuamua baada ya kuona matatizo ya umeme yanavyozidi kuwa makubwa yaliyotupelekea mpaka tukajiingiza kwa hawa wenzetu wa Richmond na Serikali ikafikia uamuzi wa kuendeleza ule mpango wa Stigler¿s Gorge Hydropower Project wa Rufiji.
Mheshimiwa Spika, nataka kusema kwamba mchango mkubwa wa matatizo yetu ni nini katika suala zima la umeme. Mimi nadhani ni matatizo ya kutofanya wakati mwingine maamuzi sahihi kwa wakati husika na kuyafanyia kazi. Huu mradi wa Stigler¿s Gorge Hydropower Project ni mradi ambao umekwishafanyiwa project, ni mradi ambao umekwishafanyiwa utafiti mwaka 1978 mpaka 1980 na kampuni moja ya NOPLAN ambayo ilikuwa imepewa kazi hii au ilikuwa commissioned na Rufiji Basin Development Authority (RUBADA). Sasa hawa walipofanya ule utafiti katika mwaka huo wa 1978 mpaka 1980 walidhamiria baada ya kufanya utafiti wao wakaona kwamba upo uwezekano wa kujenga power stations tatu ambapo moja ilikuwa inaweza kutoa megawatt mia nne; ya pili ingetoa megawatt mia nane na ya tatu ingetoa megawatt mia tisa, ambazo zote kwa ujumla wake zingetoa megawatt elfu mbili mia moja. Hiyo ni kazi iliyofanywa na Awamu ya Kwanza mwaka 1978 mpaka 1980 na gharama za mradi huu mwaka 1985 ilikuwa ni dola za Marekani milioni elfu moja na mia mbili. Kimsingi mradi huu kama utachukua njia ya mkato kutoka Chalinze ni kilomita 165 tu unafika kwenye huu mradi.
Mheshimiwa Spika, nadhani tulishindwa kufanya yale maamuzi ama ni kwa sababu ya mashinikizo ya wenzetu wakitumia kigezo cha mazingira lakini ukweli ni kwamba walitushinikiza wakati hata wao wenyewe mpaka tunavyoongea sasa hivi wameshindwa kusaini Mikataba ya Kyoto. Sasa nadhani haya ndiyo yaliyotufikisha mahali mpaka tukajikuta tuna matatizo ya umeme na tukaanza kutafuta vitu gani viweze kutusaidia. Ripoti ya Kamati imeonyesha kwamba Richmond ile shughuli nzima imetumia Shilingi bilioni 172.9/=. Hizo ni hela nyingi sana, ni asilimia kumi na tano ya zile fedha ambazo tungewekeza wakati ule ambapo tungeweza kupata mradi wa kudumu, lakini hizi hazipo na wale wameshindwa kazi. Hilo ni la kwanza, kwamba tunatakiwa tufike mahali tufanye maamuzi yanayotusaidia sisi na wananchi wetu kwa ujumla.
Hizi short term measures ziko cost effective?
Hiyo argency ya upatikanaji wa umeme inatoka wapi wakati msimu wa mvua umekaribia? August, September, October na November kulikuwa na ulazima wa kuangalia hizo short term solutions, not now.....huo ni ufisadi unapikwa hapo.
Asante kwa kunionyesha bei kaka. Naomba kama utaweza umuandikie Mheshimiwa Ngeleja mwenyewe na umtumie E-mail (I beleive itakuwepo kwenye Website ya Bunge) ili ajionee bei ya vitu vipyaa kabisa na vyevye waranty. Na naamini atakuwa anasoma hapa au kuna watu wake wanasoma. Kama kuna mtu anamjua Ngeleja mwambie asome post namba 51 na aifungue link iliyowekwa chini, please.Angalia bei za Turbine mpya.
Mitambo ya Dowan ni simple Cycle na bei ya MW35 MPYA NI $11 MILLIONS
Wabongo bana yaani bado tu kuna ishu ya umeme....inasikitisha na kuchekesha...
after almost 50 yrs of independence and all these technology out there,only 12% of Tanzanians has electricity...sad sad indeed,mimi naamini tatizo kubwa lipo kwenye energy policy zetu ambazo zinaipa TANESCO monopoly ya kuzalisha,kuuza na kusambaza,sehemu kama za kusini hawana sababu ya kutokuwa na umeme kabisa maana kuna gas ya kutosha kuzalisha umeme na watu wa kufanya hiyo kazi wapo ila serikali kwa sababu ndio yenye uwezo pekee wa kununua na kusambaza ilikataa na hairuhusu hao jamaa kusambaza na kuzalisha,bunge wamepelekewa bill mpya kubadili hii policy lakini walichofanya wanajua wenyewe na badala ya kuangalia ukweli wanachanganya new bill na rushwa za IPTL & Richmond,hope serikali inge invest kwenye kujenga GRID kuachia wengine wazalishe na kusambaza ingesaidia sana!
The Commercial Division of the High Court has restrained Dowans from selling its turbines, following an application for court injunction filed by the Tanzania Electric Supply Company (TANESCO).
Dowans had advertised on November 3, this year an intention to sell their turbines but the High Court restrained them temporarily on Thursday, pending determination of complaints filed by Dowans at the Paris Chamber of Arbitration.
Tanesco Communications Manager Badra Masoud said yesterday in a statement that Dowans had filed its complaints with the Paris Chamber of Arbitration, claiming that the state run power utility firm had illegally terminated its contract with Dowans.
Masoud said Dowans had claimed that Tanesco had not paid Dowans the outstanding capacity charges as agreed in the contract.
Tanesco, represented by Rex Attorneys, filed an application with the Commercial Division of the High Court seeking the court injunction.
Masoud said they took the option because should Tanesco win the case, Dowans` property would be attached in case it failed to pay legal costs.
The government, working on the recommendations of House Committee on Energy and Minerals, had directed Tanesco to abandon negotiations on purchase of Dowans power generators as they were too old.
Minister of Energy and Minerals William Ngeleja said recently that Dowans` generators were able to operate continuously for 12 to 13 years but thereafter, the refurbishing would be quite expensive and take a long time.
The minister said the government would purchase similar plants directly from manufacturers, although the process could take time.
Dowans and Tanesco entered into the contract after Richmond Development Company LLC failed to generate 100MW of electricity as stipulated in the June 23, 2006 agreement, which was signed after power-generation dams ran dry following prolonged drought.
Revoking the contract some few months ago, Tanesco said its contract with Richmond had no legal mandate and its transfer from Redvo to Richmond, later on to Dowans Holding SA Limited and eventually to Dowans Tanzania Ltd., did not conform to the original terms and was therefore illegal.
Sasa je ikiwa Dowans watashinda itakuwa vipi??? Tanesco itabidi ilipe capacity charges through the Paris case, then Dowans wataclaim kuwa High Court sababu ya kesi ya Tanesco walizuia mitambo kuuzwa therefore by default sababu ya muda kupita Tanesco will be liable to buy the plant or pay the total cost of missed opportunity.
Moelex23,
Duh, na hii inaweza kuwa mabillioni ya fedha!..
Lakini bado dawa ipo, kifupi nadhani sasa hivi tumepata sababu ya kuwafikisha mahakamani Rostam/Lowassa kwa kesi ya ndani - UFISADI watiwe Lupango na isitolewe hukumu hadi hiyo kesi ya Paris ijulukane.
Kwa kila ndululu watakayo zawadiwa huko nasi huku ndani tunawafunga ktk Ufisadi!.. Kesi mbili tofauti lakini matokeo yake ni kifo chao.