Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,550
- 104,878
Siku zote watu wamekuwa wanachukua fursa, ni aina ya fursa tu ndio zimetofautiana.Maisha yamekuwa hivyo sikuhizi watu wanachukua fursa
Siku zote watu wamekuwa wanachukua fursa, ni aina ya fursa tu ndio zimetofautiana.Maisha yamekuwa hivyo sikuhizi watu wanachukua fursa
Nina Imani hata hao maboss wenyewe wanaosifiwa na hawa machawa wanaona kama wanadhalilishwa,maana machawa ni kama wanaforce Kwa lazima ilimradi wapate hela kwa nguvuWanasema kipaji kutoka kwa mola eti..
Ukisha mzoesha chawa kumpa elf 10 au laki atakuganda uumpe hiyo hiyoNina Imani hata hao maboss wenyewe wanaosifiwa na hawa machawa wanaona kama wanadhalilishwa,maana machawa ni kama wanaforce Kwa lazima ilimradi wapate hela kwa nguvu
Hao jamaa wanapenda kusifiwa na kuombwa pesa hadharani na Dotto anaelewa na mshipa wa aibu hana, nasikia ukizoea kusifiwa na machawa ni very addictiveNajua ila ile ya kuomba hela kwa jamaa wa Maybach ni kujidhalilisha kabisa
Humjui doto vizuri wewe...Sioni tatizo lolote la Dotto. Wewe uliyemfungulia uzi ndo una matatizo ya akili na wivu. Dotto anafanya matangazo na namna anavyofanya ndo style inayouza zaidi kwa sasa. Kuna watu msipobadili fikra zenu mtakufa maskini.
Wewe hua ni mgumu sana wa kuelewa,inaonekana uliwasumbua sana walimu wako,Maoni binafsi kwenye kutukana wasomi?
Ukipata sehemu ya kutoboa wee toboa wabongo watakusema tu.Hakika..
Ndo wabongo wanapenda acha achukue fursa
Ndio maana nikakuuliza unajua maana ya fact? Hukujibu,mawazo ya mtu hayawezi kua fact hata siku moja,Sasa kwani mawazo ya mtu hayawezibkuwa fact?
Sasa why are you judging if that is not a fact na hujaipitisha katika mizani?Ndio maana nikakuuliza unajua maana ya fact? Hukujibu,mawazo ya mtu hayawezi kua fact hata siku moja,
An individual opinion cannot be a fact,
A fact is an objective reality that can be proven true or false with evidence,
An opinion is a personal view, feeling, or value judgment that cannot be proven
Hivihivi unavyomuona hajielewi ndiyo anaishi, analisha familia, anasomesha watoto(japo yeye hata elimu ya msingi hakusoma) na anasafiri huku akifurahia maisha.Hivi doto magari anajielewa kweli?
Yaani unakuwa chawa na kuomba hela kisa kupamba watu na mafanikio yao kweli?
View attachment 3653743
Sasa Maybach sio yako, unasifia wanaume wenzako na bado, unatambia wanaume wengine kwa kusikia wanaume...
Na wamatumbi tu bwana..
Na msanii wake jamaa linamdhalirisha mbele ya media.. Imagine dogo Rema anakuja kuwa independent na maisha yake si atakuja kujutia tu?
View attachment 3653748
Watu kama hawa ndo wanawaaminisha vijana kuna shortcut kwenye maisha.
Aisee ifike mahala kama taifa tuwe na limits kwa influencer wa namna hii ndo maana kuna vizazi vilivyo shindikana.
Ila Tukiachana matani jamaa anakula maisha kizembe sana huyu, vijana igeni mpasuke misamba..
View attachment 3653753
Wasomi hii 👋
Huna akili wewe,wala hujui hata kinachojadiliwa,kumbe ulirukia tu kuniquote wakati akili ya uelewa huna,Sasa why are you judging if that is not a fact na hujaipitisha katika mizani?
Hakuna haja ya kumjua vizuri.Humjui doto vizuri wewe...
Acha kuleta truntum boya weweHuna akili wewe,wala hujui hata kinachojadiliwa,kumbe ulirukia tu kuniquote wakati akili ya uelewa huna,
Usinisumbue,huna akili ya uelewa,wewe kukufahamisha jambo ni kazi bure tu,
Viswali vya kitoto na havina maana wala havihusiani na nilichokisema.