de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,155
- 22,072
- Thread starter
- #61
Kama huna hoja usiwe unapita kwenye mada zangu sio kuleta ujinga na ujuaji wakati huna kitu cha kuonesha...Huna akili wewe,wala hujui hata kinachojadiliwa,kumbe ulirukia tu kuniquote wakati akili ya uelewa huna,
Usinisumbue,huna akili ya uelewa,wewe kukufahamisha jambo ni kazi bure tu,
Viswali vya kitoto na havina maana wala havihusiani na nilichokisema.
Usilete hasira na udwanzi wa kishamba