Dotto Magari: Chawa au Mshawishi Hatari?

Dotto Magari: Chawa au Mshawishi Hatari?

Yani kufungua uzi wa kumjadili Dotto magari ndio unajisifia? Ndio maana nakuita debe tupu,unafungua uzi wa kujadili harakati za mwanaume mwenzio!! Halafu unajisifia!
Kuna nyuzi nyingi sana makini na hujawa hi kucomment unasubiri nyuzi zisizo serious unaleta upuuzi wako.. Dumb you
 
Kuna nyuzi nyingi sana makini na hujawa hi kucomment unasubiri nyuzi zisizo serious unaleta upuuzi wako.. Dumb you
Toka lini ukaleta nyuzi makini wewe debe tupu?
Nyuzi zako zote humu hua unaishia kutukana wachangiaji tu coz hua wanakupa ukweli unaoumiza,unaishia kula ban tu,hata Mod's wameshakuona na upo kwenye radar zao.
 
Hana elimu ndiyo maana anaona wasomi ni wajinga kwa kuwq kawazidi kupata hela kwa kupitia kuwasifia wanaume wenzake, hii nchi imechezewa sana na watu maarufu
 
Hana elimu ndiyo maana anaona wasomi ni wajinga kwa kuwq kawazidi kupata hela kwa kupitia kuwasifia wanaume wenzake, hii nchi imechezewa sana na watu maarufu
Ndo maana nasemaga pia elimu ni utapeli saa nyingine
 
Back
Top Bottom