Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,800
Jeshi la polisi mkoani Njombe limewatahadharisha wananchi na wamiliki wa vyombo vya moto kuwa makini pindi wanapokuwa sehemu za starehe ili kuepuka kuwekewa vilevi katika vinywaji vyao na kusababisha kuibiwa magari yao, baada ya kupewa vinywaji ambavyo vinachanganywa na ugoro na Valium ambavyo husababisha kulewa zaidi na kupoteza fahamu, mtindo huo unajulikana kwa jina la "Doromee".