Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Ndugu yangu,
Achana na Fikra eti za kutaka kumbadilisha Rais Magufuli! pambana kujibadilisha mwenyewe ndugu yangu. Magufuli tayari kafanikiwa na anaiishi ndoto yake! Naam, kafanikiwa ndio!
Fanya jitihada kuifanya ndoto yako iwe kweli. Magufuli tayari ana influence watu Mamilioni kwa mamilioni, Magufuli kawasaidia watu mamilioni kwa mamilioni, Jiulize wewe umekwishakufanya nini hadi sasa!? Umeacha athari gani ya kukumbukwa duniani hadi sasa!
Tufanye kitu ama tusifanye, tuwepo ama tusiwepo, muda unasonga mbele kwa kasi sana. Tuacheni kupoteza wakati! Magufuli anasonga mbele na anaendelea kuiishi ndoto yake kila dakika, wewe unaendelea kulia lia tu muda wote. Amka ndugu yangu.
Mafanikio yako na dunia inayokuzunguka yako mikononi mwako! unafanya nini! toka hapo ulipo acha kushabikia upuuzi. Anza kufanya vitu sasa acha kutoa sababu, hakuna sababu ya kushindwa kwa mtu yeyote isipokuwa uvivu wa kufikiri. Punguza kujadili watu wengine na kuwalaumu rafiki yangu. Mwanaume wa kweli ni yule anayetumia mazingira yanayomzunguka kufanya jambo ambalo halijafanywa na mtu yeyote kwenye eneo hilo au hata duniani kwa manufaa yake na binadamu wengine
You are very potential my friend! don't downgrade yourself to that level! kwa nini lakini?
Achana na Fikra eti za kutaka kumbadilisha Rais Magufuli! pambana kujibadilisha mwenyewe ndugu yangu. Magufuli tayari kafanikiwa na anaiishi ndoto yake! Naam, kafanikiwa ndio!
Fanya jitihada kuifanya ndoto yako iwe kweli. Magufuli tayari ana influence watu Mamilioni kwa mamilioni, Magufuli kawasaidia watu mamilioni kwa mamilioni, Jiulize wewe umekwishakufanya nini hadi sasa!? Umeacha athari gani ya kukumbukwa duniani hadi sasa!
Tufanye kitu ama tusifanye, tuwepo ama tusiwepo, muda unasonga mbele kwa kasi sana. Tuacheni kupoteza wakati! Magufuli anasonga mbele na anaendelea kuiishi ndoto yake kila dakika, wewe unaendelea kulia lia tu muda wote. Amka ndugu yangu.
Mafanikio yako na dunia inayokuzunguka yako mikononi mwako! unafanya nini! toka hapo ulipo acha kushabikia upuuzi. Anza kufanya vitu sasa acha kutoa sababu, hakuna sababu ya kushindwa kwa mtu yeyote isipokuwa uvivu wa kufikiri. Punguza kujadili watu wengine na kuwalaumu rafiki yangu. Mwanaume wa kweli ni yule anayetumia mazingira yanayomzunguka kufanya jambo ambalo halijafanywa na mtu yeyote kwenye eneo hilo au hata duniani kwa manufaa yake na binadamu wengine
You are very potential my friend! don't downgrade yourself to that level! kwa nini lakini?