Don't/never undermine your natural abilities

DUMU

JF-Expert Member
Sep 23, 2019
431
577
Kama unataka kufanikiwa hakikisha unatumia uwezo wako binafsi kuhakikisha unatimiza ndoto za maisha yako.

Vijana wengi wamekuwa wakipoteza dhamira zao za mafaniko kisa tu kushindwa kutumia kipawa walichonacho badala yake wanasubiri kutumia mawazo ya mtu mwingine haijalishi ni mazuri ama mabaya katika kufanya jambo fulani ila watapoona mtu mwingine amefanya jambo fulani utakuta yeye naye anafanya jambo hilo kwa kukurupuka

Labda wengine watajiuliza "which are my natural abilities? And how to determine if these/that are my natural abilities?"

Nikweli sio jambo rahisi kihivyo ila chamsingi penda kutumia mawazo yako binafsi katika kufikia malengo yako yaani kabla ya kufanya jambo itakupasa kujua jambo lipi umekuwa ukiliwaza kulifanya kwa muda mrefu lakini umekuwa ukisita kulifanya sasabasi jaribu kushirikisha wazolako wadau wako wa karibu ambao utaona nao wanamazo bora na wanasiri za kuweza kuficha mambo yako.

Kwasababu ya muda kuwa ni mchache nitakuja na andiko kamili ilikusaidia hasa wale waliokatamaa ama waliokosa mwelekeo mzuri wa maisha yao ili waweze kufikia malengo waliokuwa wakiyatamani kwa muda mrefu bila mafanikio.

Nawaasa tuendelee kufanya kazi kwa bidii bila kuchoka huku Mungu tukiwa tunaomba mema toka kwa Mungu najua atatusaidi.
 
Kujua natural ability yako ni moja ya sehemu muhimu ya kujitambua.

Wengi humu ukiwauliza natural talent zao ni zipi hawazijui mpaka wanazeeka nazo.

Ni hasara kubwa sana
 
Kujua natural ability yako ni moja ya sehemu muhimu ya kujitambua.

Wengi humu ukiwauliza natural talent zao ni zipi hawazijui mpaka wanazeeka nazo.

Ni hasara kubwa sana
Kweli mkuu na hii ndo inafanya wengi wetu tunaishi maisha ya shida na yalojaa taabu na mateso makubwa.
 
Nikuombe tu ukianza kuja na 'Articles' zangu juu ya unachotaka Kukileta hapa usisahau pia kuwaambia 'Members' hapa kuwa 'Maudhui' yako yote unayatoa katika Kitabu chenye 'Title' ya 'Core Genius' pekee sawa? Wengine tuna 'Utundu' wa Kugusa vitu vingi na Kusoma 'Publications' nyingi na ulivyokuja tu na hii haraka sana nikajua unaenda kufanya tu 'Copy' and 'Paste' ya kilichomo ndani ya Kitabu hicho tajwa cha 'Core Genius' tu. Kila la Kheri!
 
Nikuombe tu ukianza kuja na 'Articles' zangu juu ya unachotaka Kukileta hapa usisahau pia kuwaambia 'Members' hapa kuwa 'Maudhui' yako yote unayatoa katika Kitabu chenye 'Title' ya 'Core Genius' pekee sawa? Wengine tuna 'Utundu' wa Kugusa vitu vingi na Kusoma 'Publications' nyingi na ulivyokuja tu na hii haraka sana nikajua unaenda kufanya tu 'Copy' and 'Paste' ya kilichomo ndani ya Kitabu hicho tajwa cha 'Core Genius' tu. Kila la Kheri!
mbona na ww huwa una copy mabandiko ya wana na tunakusitiri

kwani unateseka
 
Nikuombe tu ukianza kuja na 'Articles' zangu juu ya unachotaka Kukileta hapa usisahau pia kuwaambia 'Members' hapa kuwa 'Maudhui' yako yote unayatoa katika Kitabu chenye 'Title' ya 'Core Genius' pekee sawa? Wengine tuna 'Utundu' wa Kugusa vitu vingi na Kusoma 'Publications' nyingi na ulivyokuja tu na hii haraka sana nikajua unaenda kufanya tu 'Copy' and 'Paste' ya kilichomo ndani ya Kitabu hicho tajwa cha 'Core Genius' tu. Kila la Kheri!
Kwa ufupi mimi sio msomaji mzuri wa vitabu na wala hicho kitabu sikijui sema natumia tu Idea nilopata toka chuo kikuu. Kwasababu nimesona kozi za biashara kuhusu jambo nililolizungumzia ni jambo la kawaida hasa kwa mtu aliyeweza kuhudhuria kwenye kozi husika. Hivo madai unayotoa juu ya kitabu chako si ya kweli na yakupuuzwa . Fatilia thread zangu nyingi utagundua mimi sio wa kawaida ni Mtanzania ila uwezo wa akili nilionao sio wa nchi hii.
 
mbona na ww huwa una copy mabandiko ya wana na tunakusitiri

kwani unateseka
Weka hapa JF huo mfano wa 'Mabandiko' ambayo huwa 'nakopi' kutoka kwa Watu tafadhali. Mimi huwa naanzisha Wengine wananifuata fuatilia tu.
 
Back
Top Bottom