Dongo la Mbatia kwa Dr. Tulia!

Dongo la Mbatia kwa Dr. Tulia!

Ni kweli kabisa na nakubaliana na wewe sababu hujui madhumuni yako ya kuwa duniani. Inaonyesha umezaliwa ili ukuwe usome, uajiliwe, uowe, halafu kifo. U dont know your calling neither your purpose on earth.

Nyie ndiyo mkishakufa mnatuachia panya road mitaani na taifa hili hasara sababu mnatuachia ****** wengine kama wewe, maelezo yako hapo juu ndizo akili za machicha ya nazi. Wewe unadhani kufanikiwa ni kuwa na personal status.

Usiwe na mawazo finyu, fikiri kwanza kabla ya kuwakilisha mawazo yako.

hahahaha mkuu hizo nyota hapo ni lile jina ambalo sasa wenyewe wamelichukulia hati miliki, halipaswi tena kutajwa kutajwa, kwa hiyo limekuwa sensored...

hahahahaha tanzania bana... dah!!!!
 
huyu mama mbwembwe zooote kapewa kichwa na Chenge kubwa la maadui, maana alimwambia hayuko nyuma yake bali yuko naye bega kwa bega, wana simiyu mmeturudishia kimeo jamani, huyu nyoka wa makengeza amedonoa wengi
13335863_845141012259281_4188052138894832668_n.jpg
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Maisha hayana cross multiplication ndugu.... kwa umri wako kuna wanao kuzidi cheo na madaraka mno tu... ni suala la chance tu.....
 
Kwenye siasa za Kibunge, wingi ndo kila kitu. Siri pekee iliyopo kwa upinzani ni kuongeza idadi ya wabunge kufikia asilimia ambayo watawala hawawezi kuipuuza. Kwa idadi ndogo ya wabunge wa upinzani hata wakiandamana, wakigomea bunge, wakipiga kelele bungeni, n.k. ni vigumu kuwa na impact. Kumtukana Naibu spika kwamba ni mtoto wa siasa, haitaleta tija yoyote sana sana kutapunguza wanaowaunga mkono. Visa na sababu zilizofanya wabunge watimuliwe vinaeleweka na kuna precedence kibao za kuonesha kuwa wabunge waliofanya yale walifanyiwa nini. Mbinu ya kugomea vikao muhimu vya bunge ina madhara makubwa zaidi kwa wabunge wa upinzani.
Siasa hizi za harakati zina wakati wake, huu si wakati wake!
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!

Wewe Una miaka mingapi na umefanikiwa na Kipi?kupiga Picha na Wabunge?
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Unaijua CCM lakini?
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Akili za kima hizi
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Waza kwa akiba kidogo basi
 
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Kaanza juzi IPI mkuu? Ni chama gani tulia?
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!

Mafanikio ya Mbatia ni kwa wananchi na Taifa,sio kwake bianfsi tu.
 
Inabadilisha nini? Dada Tulia (PhD) ndiye Naibu Spika wa Bunge la JMTZ, Mbatia ni nani? kwanza hata amshukuru Raisi Kikwete kwa kumpa Ubunge wa viti maalumu kama Lucy kamata vinginevyo leo hii angekuwa anabeba mikoba ya fisadi Lowasa au Mbowe!
Inaonekana umezuka hata uelewi nchi inakwenda vipi. Mbatia ni mbunge wa kiteuliwa hivi sasa?
 
Mwenzake sasa ana PHD yeye ananini? Na siasa imemsaidia nn kwa miaka 25 yote? Hajidhangai kuona mtu aliekuwa shule yq msingi sasa ndio kiongoz wake bungeni? Haon aibu hata kusema upupu huo? Ukawa nenden kwa babu Mwasapile Loliondo
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Ukimuona kobe juu ya mti jua kapandishwa
 
Back
Top Bottom