Dondoo za kupaa kichawi

Dondoo za kupaa kichawi

yani limwili langu huu nipande kifagio duh ... hivi kwa nini wachawi wasitengeneze ndege yao ili wapige pesa ?

Ukiuangalia huo ufagio kwa angle hiyo hutaelewa......wewe jua huwa unabadilika unakuwa kama ndege aina ya Concorde.......infwakti Concorde ilitokea kwenye fyagio........
 
mshana jr said:
45d2d062b21c3a5298530b3493ce704c.jpg
Si kila mchawi au mshirikina ana uwezo wa kupaa...uchawi na ushirikina una level zake kama ilivyo kwenye viwango vya elimu
Mchawi anayejipendekeza kupaa bila kupata maarifa kamili hujikuta akipiga mweleka mkubwa sana kutokana na uzito wake au vinginevyo
Na huko angani kuna tufani za kila aina Usijaribu kupitisha helicopter yako kwenye anga la Boeing hutafika safari yako
Lakini pia kwenye kupaa kuna mahesabu yake...kwamba utapaa upande gani na umbali gani na urefu gani.kwamba kama unaenda Lamu kwa mwendo wa kawaida pengine ni masaa matatu hivi lakini wewe unataka kwenda kwa sekunde tatu tuu inabidi ujigawe roho na mwili yani unacheza kamari na Mungu
Kwahiyo unautanguliza mwili kwanza kisha ndio roho hufuata...vikishafika vyote salama huungana tena na kuwa binadamu kamili na kuendelea na mambo yake
Bro mshana ulisema uchE
 
dah nimeipenda hii, lakin pale umeandika "helicopta haziwez pita kwnye anga la boeing" ndo wapi huko?
 
Ipo hiyo mbona? Tena ya mwaka jana mwanzoni ila niliitwa majina yote mabaya kwa wafia imani zao...nikiipata takutag
yap itafute hiyo mkuu then ntaomba unitag ukiipata, nahitaji kusoma mambo mbalimbali kuhusu dunia na kuyaelewa.
 
Kupaa kwa ungo huo ni usafiri wa wengi kama daladala na ni usafiri wa kimaskini
Kupaa kwa fimbo huu ni advanced na usafiri binafsi sana sana unaweza kumpa lift mtu mmoja na hapa kuna majini yanahusika
Kusafiri kiroho hii ni level ya juu kabisa ambako kwenye uchawi huu huu hakuna time limit wala umbali yani ni kama dunia iko kiganjani mwako na ni kiasi cha kujisogeza tuu
21cf706ec1d2e72aca86101e1e520f37.jpg
Naona ka usafiri kana stendi kabisa ya kutulia.

Nimekumbuka zile baiskeli za Avon na stendi zake enzi hizo
 
dah nimeipenda hii, lakin pale umeandika "helicopta haziwez pita kwnye anga la boeing" ndo wapi huko?

Yaani ni.....Boeing inaruka futi labda elfu 32......helcofta inaruka futi mia na 50......huoni tofauti hapo......?....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom