Dondoo za kupaa kichawi

Dondoo za kupaa kichawi

Ahah! kumbe msabato mwenzangu mkuu! unamkumbuka pastor mhando?! Kwa ss anasali mbezi kama muumini wa kawaida maana aliasi sasa amerudi au na fitz henry jangwani 1999-2002?!
Jamani jamani kitendo cha Mhando kilizua gumzo kipindi hicho nakumbuka hadi waumini wakajipa cheo cha Uungu na kuanza kumhukumu khaa. Tabia ya kubagua dhambi watu wengi wana hili tatizo.......
 
Mshana nimekua mfatiliaj sana wa thread zako so naomba nkuulize je wewe ni mganga wa kienyej au ni mtaaalam wa mambo ya kichawi
 
Jamani jamani kitendo cha Mhando kilizua gumzo kipindi hicho nakumbuka hadi waumini wakajipa cheo cha Uungu na kuanza kumhukumu khaa. Tabia ya kubagua dhambi watu wengi wana hili tatizo.......
Uko sahihi kabisa mkuu, sasa hv pastor mhando ni muumini wa kawaida pale mbezi sda. alijikweza huyu akafungua mpaka kanisa lake akiapa kuwa kila muumini wake lazima awe tajiri alijikweza kutokana na kipawa chake cha uponyaji na mafundisho yake yaliyogusa wengi. bible inasema, ajikwezae atashushwa! ajishushae atakwezwa!
 
Mshana nimekua mfatiliaj sana wa thread zako so naomba nkuulize je wewe ni mganga wa kienyej au ni mtaaalam wa mambo ya kichawi
Hapana mimi sio mganga ni elimu tu na uzoefu
 
Lakin yaelekea hayakupi tabu mambo hayo kama ukitaka kua mganga utakua upo vizur sana
 
Lakin yaelekea hayakupi tabu mambo hayo kama ukitaka kua mganga utakua upo vizur sana
Siwezi tena kuwa mganga kwasasa nilishaachana na mambo ya ulimwengu wa giza
 
Uko sahihi kabisa mkuu, sasa hv pastor mhando ni muumini wa kawaida pale mbezi sda. alijikweza huyu akafungua mpaka kanisa lake akiapa kuwa kila muumini wake lazima awe tajiri alijikweza kutokana na kipawa chake cha uponyaji na mafundisho yake yaliyogusa wengi. bible inasema, ajikwezae atashushwa! ajishushae atakwezwa!
Ndio hivyo kiburi huponza wengi, ila kiukweli Mhando alikua na kipawa, alikua ana ushawishi, mahubiri yake yalikua mazurii unamuelewa fresh. Alas, alipokuja kujichanganya sijui alipatwa na kitu gani yarabii. Sisi tujifunze kupitia Mhando, si kwa nyanja ya dini pekee bali kwa kila mazingira na hali tulizomo.
 
we dogo unajifanya unajua mambo ya uchawi lakini hamna kitu,,tuulize sisi tunaoishi huku njombe vijijini
 
we dogo unajifanya unajua mambo ya uchawi lakini hamna kitu,,tuulize sisi tunaoishi huku njombe vijijini
bigonzo kwanza mimi sio dogo pili Mimi sijifanyi kujua mambo ya uchawi nayajua kindakindaki na nime ya practice to the fullest.....wewe unaongelea hapo njombe pa kufika na fisi...mimi nimefika mpaka kuzimu , Nafahamu mpaka ushetani na zaidi ya hapo...
 
bigonzo kwanza mimi sio dogo pili Mimi sijifanyi kujua mambo ya uchawi nayajua kindakindaki na nime ya practice to the fullest.....wewe unaongelea hapo njombe pa kufika na fisi...mimi nimefika mpaka kuzimu , Nafahamu mpaka ushetani na zaidi ya hapo...
Shikamoooo mshana jr kama ushafika na kuzimu
 
Huyu jamaa siwezi kukaa nae hata nusu saa kupiga story. Dah...mambo ya kishirikina na kichawi kwa kweli yanatisha!!
 
Sasa Ndugu Yangu Mshana Yani Unatuweka Uchi Baada Ya Kutoka Bongo Flava Kwenda Bongo Movie. Ngoja Wapate Taarifa Unatoa Siri Zao Wakulambe Kichwa Usionekane Humu Jf Hahahahah.

Lakn Kaka Ulipata Tabu Sana Kuacha Maana Kuondoka Na Kumkana Shetani Na Kazi Zake Na Kutoa Baadhi Ya Siri Zake Si Jambo Dogo.
Ok Tupe Darasa Lakn Hao Wanaopaa Ni Jipu Maana Wanakwepa Kodi Nyingi Sana Ukizingatia Hata Leseni Hawana Hahaha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom