Don Shkuba Yupo Huru

Kipindi cha JPM ilikuwa inaundwa team maalum ya ulaji. JPM alikuwa anataka watu maalum ndo wahusike na upigaji wa hela na dili haramu sio kila mtu anajipigia. Mwisho wa siku hao watu aliowachagua walikuja kumwangusha vibaya sana. Madawa yalikuwepo na ubadhirifu pia ulikuwepo lakini ni kwa watu maalumu tu.
 
Bora kuhukumiwa miaka 20 ulaya au USA kuliko kufungwa miaka 3 Africa..
 
acha madawa mkuu yanabungua akili zako.

waulize watu wa karibu kuhusu jpm usisikilize story zake kutoka kwa watu wanamjua kwa kuwaangalia akina bashite.
 
acha madawa mkuu yanabungua akili zako.

waulize watu wa karibu kuhusu jpm usisikilize story zake kutoka kwa watu wanamjua kwa kuwaangalia akina bashite.
Nilikuwa kwenye system hauniambii kitu kuhusu JPM. Naongea kitu nachojua kwa uhakika wa asilimia 100. Mpaka nyakati za mwisho wa maisha yake hela hamna mpaka Rostam ikabidi arejeshwe nchini kwa kumfungulia kesi kaka yake.
 
Nilikuwa kwenye system hauniambii kitu kuhusu JPM. Naongea kitu nachojua kwa uhakika wa asilimia 100. Mpaka nyakati za mwisho wa maisha yake hela hamna mpaka Rostam ikabidi arejeshwe nchini kwa kumfungulia kesi kaka yake.
Kwamba rostam alipokuja sasa ndio hela ikaanza kupatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…