Don Shkuba Yupo Huru

Don Shkuba Yupo Huru

Tiko ni chawa wa Shkuba imagine shkuba anaishije
Aseee, ni balaaa.....sema shkuba inaonekana sio mtu wa mitandao....hta picha zake nyingi zilionekana baada ya kukamatwa....ni balaaa alooo.....sasa imagine wale smart dealers ambao hawapo kabisa na mitandao, wao wanaishi tu huko kwny mijengo yao....tena wapo ambao wanasurvive kwa kuwa lowkey kabisa hta hawajulikani shida wakina sie tukizpataaa
 
Haha jela wameumbiwa wanadamu siyo
tena nikafungwe kule colombia kwa hapa bongo sijaona gereza la kufungwa mimi coz hazina mateso nakumbuka nilitekwagwa na wahasi kule kwa kina kabila aisee wale kidogo wanajua kutesa unachimbiwa shimo alafu unafukiwa unaachwa kichwa tu hadi asubuh lakin nilistay huko miaka miwili
 
Back
Top Bottom