system😆😆😆.Nilikuwa kwenye system hauniambii kitu kuhusu JPM. Naongea kitu nachojua kwa uhakika wa asilimia 100. Mpaka nyakati za mwisho wa maisha yake hela hamna mpaka Rostam ikabidi arejeshwe nchini kwa kumfungulia kesi kaka yake.
anasema alirejeshwa baada ya pesa kukosekana😂😂.Kwamba rostam alipokuja sasa ndio hela ikaanza kupatikana
Bia imepigwa marufuku? If no, kwanini?Hivi bia hqinq arosto mkubwa
Hela ya madawa haingii serikalini hio ni hela ya inaingia mikononi mwa watu wachache wafanye wanachotaka. Serikali ilikuwa haina hela ila viongozi wanazo utawalazimisha viongozi watoe hela zao walizopiga kufanya maendeleo. JPM alikuwa kiongozi mzuri lakini kasoro yake kubwa na iliyomuangusha ni Unafiki. Ukiwa mnafiki unawavuta wanafiki wawe karibu yako kuna kipindi alikosa mtu wa kuteua mpaka Bashiru Ally alipewa vyeo viwili. JPM alijifunza mengi sana kipindi cha mwisho wa maisha yake although it was too late. Lakini cha ajabu CCM bado haijajifunza na makosa yake. Bado Serikalini Teuzi zinafanyika kishabiki, nchi ni kubwa sana kuongozwa na mawazo ya mtu mmoja peke yake. Inabidi uwe na team inayokuchallenge, na kukupa mwongozo wa upande mwingine wa shilingi. Kwangu mimi natamani Tanzania iendelee hivi hivi ije kuwa kama Congo ili nikirudi nipige hela vizuri kwa raha. Na tukifikia status ya Congo itakuwa Rahisi kwa wanaotaka kuzamia Ulaya. Tunaelekea kuwa a failed state haijalishi tuwe na rais wa aina gani. Kikwazo kikubwa cha maendeleo ni mfumo na si mtu(Rais).anasema alirejeshwa baada ya pesa kukosekana😂😂.
wakati huo anadai madawa bado yalikuwepo,sijui walikuwa wanauza kwa bei ya hasara!
Do! Ume generalize mkuu. Unajua hayati baba wataifa naye alikuwa mkazi wa magomeni?Asilimia kubwa ya wakazi wa magomeni hujihusisha, walijihusisha au ndugu yao anajihusisha
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hzo za ndan sana....mie shabiki tu....by the way kajipata hyo B sio mchezo kuipataanaskia Alipigwa Bilioni moja kwa kwa kuuziwa mgodi fake![]()
Hzo za ndan sana....mie shabiki tu....by the way kajipata hyo B sio mchezo kuipataa

Those who know don't talk. Those who talk, don't know.Chei Chei Waungwana
Muna Habari Yoyote Kuwa Shkuba Yupo Huru ?
Kwa Taarifa zilizonifikia wakati huu kuwa Tajiri Shkuba kamaliza kifungo chake cha miaka minne na sasa yupo huru na yupo nchini hapa
Mwenye update anaweza kushare na sisi pia kuhusu Tycoon Shkuba
View attachment 2838150
Hzo za ndan sana....mie shabiki tu....by the way kajipata hyo B sio mchezo kuipataa
Sura km nguruwe... Mtafute Lucas Mwashambwa umuoeChei Chei Waungwana
Muna Habari Yoyote Kuwa Shkuba Yupo Huru ?
Kwa Taarifa zilizonifikia wakati huu kuwa Tajiri Shkuba kamaliza kifungo chake cha miaka minne na sasa yupo huru na yupo nchini hapa
Mwenye update anaweza kushare na sisi pia kuhusu Tycoon Shkuba
View attachment 2838150
Na source zenu za "trust me broooo......".Kipindi cha JPM ilikuwa inaundwa team maalum ya ulaji. JPM alikuwa anataka watu maalum ndo wahusike na upigaji wa hela na dili haramu sio kila mtu anajipigia. Mwisho wa siku hao watu aliowachagua walikuja kumwangusha vibaya sana. Madawa yalikuwepo na ubadhirifu pia ulikuwepo lakini ni kwa watu maalumu tu.
Chai.Fuatilia uzinduzi wa Taifa gas na kuanza ku-export gas yetu nje ya Tanzania. Hela ilianza kuingia kutoka nje. JPM alifurahi hadi akampa kiwanda cha ngozi Morogoro.