Don Shkuba Yupo Huru

Don Shkuba Yupo Huru

the music industry is booming now, wasanii usanii unalipa sasa, nchi imefunguka. Cheers.🫡🫡🫡🫡

Nlkua najiuliza maswali mengi sana huu usanii wa sasa na maisha yao, umenipa dots nmekuelewa mkuu na ilkua ni obvious tu lazma iwe hvo.

Wengne hta wanavoimba hatuoni au kusema wanafanya vzuri sokoni kivile hamnaaa ila maisha wanaishi sio poa mixa mandinga wanayomiliki sio poa kabisaaa.....kweli nchi imefunguka
20241208_201438.jpg
 
Miaka ya zamani hapo hata wakina maimartha hawajaja mjijini ndy ilikuwa kijiwe chetu
Tukitoka kwenye mianjo lazima tuje hapo American chips mabaharia wote tunakutqna hapo

Ova
Wewe ni muongo.

Kipinchi hicho American Chips ilikua ishakufa, akaja Jay Dee akafungua restaurant yake.
 
Back
Top Bottom