Don Shkuba Yupo Huru

Don Shkuba Yupo Huru

ni na miaka 3 sasa sijawah kuangalia muvi wala kutazama tv, broo mi mwenzako huwa napendaga sana matukio maovu maovu tokea nikiwa na miaka 15 nimekuwa navutiwa sana na uhalifu kuna siku niliwekwa ndani jera kwa kosa la privet kidogo huwez amini nilifurah sana ubaya walinifunga miez sita siku ya kunitoa niliuzunika sana kwahy hapa natafuta namna nifanye kosa lenye umaharufu ndan yake, yaan lenye pesa ili nikiwekwa jera nikae japo miaka 30
Yapo mengi makosa ni wewe tu chagua bunduki,kubaka nk
 
es-thegreatoz-index2-1508879616.jpg

Tafuta hyo series mkuu Kuna uhalifu wa kijelajela unaweza pata ujuzi kidogo😁
ni na miaka 3 sasa sijawah kuangalia muvi wala kutazama tv, broo mi mwenzako huwa napendaga sana matukio maovu maovu tokea nikiwa na miaka 15 nimekuwa navutiwa sana na uhalifu kuna siku niliwekwa ndani jera kwa kosa la privet kidogo huwez amini nilifurah sana ubaya walinifunga miez sita siku ya kunitoa niliuzunika sana kwahy hapa natafuta namna nifanye kosa lenye umaharufu ndan yake, yaan lenye pesa ili nikiwekwa jera nikae japo miaka 30
Kuna mabalaa sana humo
 
Chei Chei Waungwana

Muna Habari Yoyote Kuwa Shkuba Yupo Huru ?

Kwa Taarifa zilizonifikia wakati huu kuwa Tajiri Shkuba kamaliza kifungo chake cha miaka minne na sasa yupo huru na yupo nchini hapa
Mwenye update anaweza kushare na sisi pia kuhusu Tycoon Shkuba






View attachment 2838150
Hawa ni wa kupiga risasi, oneni walichomfanya Chidbenz
 
Ali Khatib Haji Hassan, 49, Makame Haji Mwinyi, 49, Ernest Michael Mbwile, 35, Abdulahtif Juma Maalim, 43, Ibrahim Omary Madega, 52, Tiko Emanuel Adam, 41, Iddy Saleme Mfullu, 46, Mohammed Said Mohammed, 48, Daud Michael Vedasto, 58, all from Tanzania, previously pleaded guilty as did Salim Omar Balouch, 36, from Iran, and Abdul Basit Jahangir, 40, from Karachi, Pakistan.

On Aug. 7, 2019, U.S. District Judge Sim Lake completed two days of hearings and ordered them all to federal prison.
Wenzetu Kesi ya watuhumiwa 11 inasikilizwa siku mbili tu na kutia watu Hatiani.

Mahakama za kina Jaji Ibrahimu wangesikikiliza kwa miaka 6.

Uvivu ni adui wa maendeleo.
 
dah kwanza kumfikia huyo tembo atakuma amekufa au? Nieleweke kwamba nataka mishe ambazo utaingiza kwanza pesa ndipo ufungwe yaan iwe ajali kazin
Ndio kama hivyo meno ya tembo ni pesa ni wewe tu kuzama pori kutandika risasi na kufanya yako
 
Kwani wanaouza hamuwajui,mbona mbinu unazotumia ni za kizaman sana
siwajui kwan hata bangi ni dawa ya kulevya ili nianze kulima na kuuza mana roba ni m4 si pesa haba vuta picha una lima heka tatu unapanda unapata robo 35 piga kwa 35 mara milion 4 ngoja nizame ndich najua nitashikwa awamu ya tatu ya uzalishaji
 
Back
Top Bottom