bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,301
Ukiwa na pesa nani kakuambia utajaa jela mda mrefu
Yapo mengi makosa ni wewe tu chagua bunduki,kubaka nkni na miaka 3 sasa sijawah kuangalia muvi wala kutazama tv, broo mi mwenzako huwa napendaga sana matukio maovu maovu tokea nikiwa na miaka 15 nimekuwa navutiwa sana na uhalifu kuna siku niliwekwa ndani jera kwa kosa la privet kidogo huwez amini nilifurah sana ubaya walinifunga miez sita siku ya kunitoa niliuzunika sana kwahy hapa natafuta namna nifanye kosa lenye umaharufu ndan yake, yaan lenye pesa ili nikiwekwa jera nikae japo miaka 30
Kuna mabalaa sana humoni na miaka 3 sasa sijawah kuangalia muvi wala kutazama tv, broo mi mwenzako huwa napendaga sana matukio maovu maovu tokea nikiwa na miaka 15 nimekuwa navutiwa sana na uhalifu kuna siku niliwekwa ndani jera kwa kosa la privet kidogo huwez amini nilifurah sana ubaya walinifunga miez sita siku ya kunitoa niliuzunika sana kwahy hapa natafuta namna nifanye kosa lenye umaharufu ndan yake, yaan lenye pesa ili nikiwekwa jera nikae japo miaka 30
kubaka na bunduk kwangu si makosa ninayolenga, hayana pesa nataka kwanza nipate pesa ndipo nifungwe sio ilimladi kufungwaYapo mengi makosa ni wewe tu chagua bunduki,kubaka nk
Hakuna tofauti!Sasa huyo na ccm wana tofauti gani?
View attachment 2838257
Tafuta hyo series mkuu Kuna uhalifu wa kijelajela unaweza pata ujuzi kidogo
utawala sio shida ninapenda tu kazi za kibabe zenye mkwanjaSasa huyo chonchi alikamatwa tokea utawala wa j.k mpaka leo
Ova
Hawa ni wa kupiga risasi, oneni walichomfanya ChidbenzChei Chei Waungwana
Muna Habari Yoyote Kuwa Shkuba Yupo Huru ?
Kwa Taarifa zilizonifikia wakati huu kuwa Tajiri Shkuba kamaliza kifungo chake cha miaka minne na sasa yupo huru na yupo nchini hapa
Mwenye update anaweza kushare na sisi pia kuhusu Tycoon Shkuba
View attachment 2838150
Wenzetu Kesi ya watuhumiwa 11 inasikilizwa siku mbili tu na kutia watu Hatiani.Ali Khatib Haji Hassan, 49, Makame Haji Mwinyi, 49, Ernest Michael Mbwile, 35, Abdulahtif Juma Maalim, 43, Ibrahim Omary Madega, 52, Tiko Emanuel Adam, 41, Iddy Saleme Mfullu, 46, Mohammed Said Mohammed, 48, Daud Michael Vedasto, 58, all from Tanzania, previously pleaded guilty as did Salim Omar Balouch, 36, from Iran, and Abdul Basit Jahangir, 40, from Karachi, Pakistan.
On Aug. 7, 2019, U.S. District Judge Sim Lake completed two days of hearings and ordered them all to federal prison.
Kwanini Chidbenz tu? Mbona watu wengi marafiki wa Chid hawakuula?Hawa ni wa kupiga risasi, oneni walichomfanya Chidbenz
Ingia porini bruh ni miguu yako tu kata hata mkia wa tembo alafu jipitishe kwa maafisa pori huku uki jipepea nao subiri mrejeshoutawala sio shida ninapenda tu kazi za kibabe zenye mkwanja
dah kwanza kumfikia huyo tembo atakuwa amekufa au? Nieleweke kwamba nataka mishe ambazo utaingiza kwanza pesa ndipo ufungwe yaan iwe ajali kazinIngia porini bruh ni miguu yako tu kata hata mkia wa tembo alafu jipitishe kwa maafisa pori huku uki jipepea nao subiri mrejesho
Ndio kama hivyo meno ya tembo ni pesa ni wewe tu kuzama pori kutandika risasi na kufanya yakodah kwanza kumfikia huyo tembo atakuma amekufa au? Nieleweke kwamba nataka mishe ambazo utaingiza kwanza pesa ndipo ufungwe yaan iwe ajali kazin
Kwani wanaouza hamuwajui,mbona mbinu unazotumia ni za kizaman sanaNa mi nataka kuuza madawa ya kulevya nipen info ila nami nije nifungwe nataman sana kufungwa kwa kesi ya unga
siwajui kwan hata bangi ni dawa ya kulevya ili nianze kulima na kuuza mana roba ni m4 si pesa haba vuta picha una lima heka tatu unapanda unapata robo 35 piga kwa 35 mara milion 4 ngoja nizame ndich najua nitashikwa awamu ya tatu ya uzalishajiKwani wanaouza hamuwajui,mbona mbinu unazotumia ni za kizaman sana
Kwa hyo unataka wasiuze unga njaa ituueWauza unga wote Wako Mitaani